natangaduaki
Senior Member
- Mar 8, 2012
- 107
- 23
kamua kamanda, TUNAKUAMINI.
Wee Sangarara, siulisema unajitoa JF!?. Nilijua utarudi tu! ha ha ha ha
unacheka nini sasa
naomba shngi mia!!Bas tu nimerurahia kurudi kwako. Au ulitaka nisifurahi?
naomba shngi mia!!
I missed your posts man.
Unataka shing ngapi? Mia?
Tuma tenga la Samaki Kimara Baruti kwanza.
Ha ha ha ha!
Nipo kef mkuu, na muda umeniishia....
kwa hiyo hata ukipost sintaweza kujibu. Kesho basi.
Ngoja niwai nyumba kabla ya swala ya adhuhuri...
If you know what I mean!
Hivi JK ni lini mara yake ya mwisho kutembelea soko?