chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,682
- 22,685
Shughuli ya kuchimba kaburi la kumhifadhi aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni za IPP, Reginald Mengi imeanza leo Jumatatu Mei 6, 2019 kijijini kwake Nkuu, Machame mkoani Kilimanjaro. Kaburi hilo linachimbwa kando ya makaburi ya wazazi wake, mwanae