Hivi hizi shughuli si kuna kitengo maalumu chenye askari wa kupambana na hawa watuhumiwa?
Kulikoni tena DC kusaka vijana mitaani
Tena kaenda "kutekeleza majukumu yake" na wapiga picha kabisaHivi hizi shughuli si kuna kitengo maalumu chenye askari wa kupambana na hawa watuhumiwa?Kulikoni tena DC kusaka vijana mitaani
Mkuu jiulize kama walikuwa bize na kukamata wangepata wapi muda wa kupiga picha kama hizoHivi hizi shughuli si kuna kitengo maalumu chenye askari wa kupambana na hawa watuhumiwa?
Kulikoni tena DC kusaka vijana mitaani
Nimekupata vilivyo mkuu..!
Eti Kama Wema sepetuawamu hii tutaona movie nyingi sana aisee, DC mzima anaigiza utadhani wema sepetu
Wanahatarisha usalama ndani ya wilaya mwenyekiti wa kamati ya usalama wa wilaya anatekeleza majukumu yaoHivi hizi shughuli si kuna kitengo maalumu chenye askari wa kupambana na hawa watuhumiwa?
Kulikoni tena DC kusaka vijana mitaani
Mbona kama kapozi kupiga picha ?Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mjini Patrobas Katambi (kushoto), akiwakamata vijana ambao wamekuwa wakitumia dawa za kulevya aina ya gundi tatizo ambalo limekuwa sugu katika jiji la Dodoma.View attachment 935437