CUF, kwishney. Kudhihirisha hilo, mleta thread aeleza ktk mkutano uliofanyika Urambo, mkutano ulifanyika wapi! Na kwanini sehemu ile! Au labda ni ile ndoa ya CUF na SISIEMU?
ukiambiwa mkutano umefanyiaka urambo tatizo lako ninini.Hii ni mikutano ya Urambo mjini,Kaliua,Sikonge hii ni ziara ya kanda ya ziwa kwa kunzia wameanza na Singida,Tabora wanaendelea mikoa ya Shinyanga,Mara,Mwanza na Kagera na LEO Watakuwa TABORA MJINI.NGANGARI KINOMA
ukiambiwa mkutano umefanyiaka urambo tatizo lako ninini.Hii ni mikutano ya Urambo mjini,Kaliua,Sikonge hii ni ziara ya kanda ya ziwa kwa kunzia wameanza na Singida,Tabora wanaendelea mikoa ya Shinyanga,Mara,Mwanza na Kagera na LEO Watakuwa TABORA MJINI.NGANGARI KINOMA
Nafurahi sana vile CUF wasivyokata tamaa wala kubabaishwa na propaganda za wapinzani wao.HII NDO INATAKWA PIGA KAZI KUWATETEA WATANZANIA WATAKEJELI SANA MWISHO WATAGUNDUA UKWELI NA KUPUUZA AKILI ZAO.SONGA MBELE MTATIRO SONGAMBELE CUF.CUF WILL NEVER DIE.Huu ni mpito tu but i see u a still strong.KEEP MOVING MAADUI WAKO WAMEKUWA WENGI NA WANAZIDI KUONGEZEKE KWA KULISHWA PROPAGANDA.TOGETHER FOREVER
hakuna future hapa,ubishi wao ndio unawafanya wazidi kudidimia
waungane na vyama vingine kuunda umoja wa kuingoa CCM 2015
wakimsimamisha mgombea mmoja tu upinzani wataibwaga CCM
Tutashuhudia hivi vyama vya upinzani vikiibuka na kuzama kila siku. R.I.P CUF.
Cuf haitauliwa na propaganda za wapinzani wake, bali itauliwa na Jussa, Maalim Seif na Hamad Rashid!!!!!
Dah, masikini CUF kwisheny!!!!
Duh mkuu mbona anguko hilo hatari!preparations for 'crash landing'.... very sad that CUF will never be the same again