daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 2,486
- 2,191
Huo ugonjwa ulikuwa hauchaguiHabari wadau...!
Katika pita pita zangu maktaba nimekutana na hii document ya chanjo kumbe haya mambo ya kuchanjana yalianaza kitambo sana sasa sijuhi hawa wanaokataa kuchanja wanapata wapi ujasiri.
Chanjo ilikuwa dhidi ya ugonjwa wa Plague ugonjwa ulisumbua sana dunia ukaenea Afrika mpaka Ulaya mwisho wake watu wakaamua kuchanjwa.
Historia inasema hapo Ottman Empire ugonjwa ulikuwa unaua si chini ya watu 2000 kwa siku.
View attachment 1944234
Ukiambukizwa unakufa