Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,886
- 6,883
Wanachama wa Chadema pamoja na mbunge wao Lema wakiandamana kutoka mahakamani baada ya kushinda kesi iliyofunguliwa na madiwani waliofukuzwa uanachama baada ya mahakama kutupilia mbali madai yao na hivyo kukipa Chadema ushindi wa kesi hiyo.
Mbunge Lema akiwa sambamba na wanaarusha wakitoka mahakamani kwenda makao makuu ya Chadema Arusha
Kizazi kipya kinanjaa ya mabadiliko na ukombozi wa kifikra, kielimu na kiuchumi na Chadema ndio tegemeo lao.
Mabobu na vifo vya wahanga havijawafunja moyo, ila ndo mafuta yameongezwa ili utambi umulike zaidi.
Mbunge Lema akiwa sambamba na wanaarusha wakitoka mahakamani kwenda makao makuu ya Chadema Arusha
Kizazi kipya kinanjaa ya mabadiliko na ukombozi wa kifikra, kielimu na kiuchumi na Chadema ndio tegemeo lao.
Mabobu na vifo vya wahanga havijawafunja moyo, ila ndo mafuta yameongezwa ili utambi umulike zaidi.