Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Magufuli anaishia kutaja mavilometer na mavifungu ya sheria Huku chato ikiwa inamponyoka
Kazi ya Magufuli ni ya nchi nzima, beyond Chato
Magufuli anaishia kutaja mavilometer na mavifungu ya sheria Huku chato ikiwa inamponyoka
[B]"Wakati umefika sasa wananchi wa Chato kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2014 na uchaguzi mkuu 2015, pigeni kura za hasira baina ya CCM na huyu Magufuli, kisha kuwachagua viongozi wa CHADEMA kwa maendeleo yenu," alisema Lwakatare.[/B]
Ebana huyu jamaa wa kishapu kumbe! ananiangusha sana, jimbo wanampa mwarabu aendeleze biashara zake nakuacha wananchi wanapigwa bei za pamba kiwizi wizi!!Mkuu, Hiyo ni kadi ya UVCCM inayoongoza na Mwana Kishapu mwenzio Shigela!
Ni mtaalamu wa Financial Management na anafundisha na kufanya utafiti katika nyanja hizo Mzumbe University. He is a smart academic as far as I know him. Atasaidia mawazo katika Strategic Level katika chama.Vipi kuhusu Dk. Benedictor , ni daktari wa philosophy au binadamu? Na vipi kuhusu CV yake hapo CHATO anaweza kutufanyia mageuzi mkuu?
Na dulu za siasa zinasemaje hapo kuhusu mchakato wa chaguzi za serikali za mitaa na vijiji pamoja na viongozi ndani ya nyama vyote kwa ujumla?
Hivi hizo kadi za CCM zinazorudishwa si wanazichoma moto? Hazina maana kabisa
Kazi ya Magufuli ni ya nchi nzima, beyond Chato
Magufuli ajipange upya.....
Yeah, nimeona hapa Dk. BenedictorNi mtaalamu wa Financial Management na anafundisha na kufanya utafiti katika nyanja hizo Mzumbe University. He is a smart academic as far as I know him. Atasaidia mawazo katika Strategic Level katika chama.
Mkuu hiyo ya kadi ya njano naiona vibaya! ni kama ina nembo ya JW vile? Lol Vuguvugu la mabadiliko noma!!