jamaa kumbe kelele zote wanaonea gere CUF
hakuna tofauti.kikwete ndo mshindi ile misimamo ya kisusia hotuba yote bure kabisa.walimwonea zito
Umemaliza wivu wanataka wao kuolewa mke wa pili..subiri 2015 uwezo sasa mdogo ok bibie chadema
jamaa kumbe kelele zote wanaonea gere CUF
hakuna tofauti.kikwete ndo mshindi ile misimamo ya kisusia hotuba yote bure kabisa.walimwonea zito
Pasco, nilikuambia usimame katika kauli yako kuwa JK kamwe hatakutana na CDM na kwamba atasaini muswada kabla ya 01/12/2011 bila kuzingatia maoni ya wengine. Sasa hayo ya CCM C inaonyesha unataka kuchomoka katika kiapo chako. Mwaka huu wengi mtaficha nyuso zenu kutokana na kauli zenu za awali, ameanza Nape kujificha, utafuata wewe Pasco Mayala !Nimefurahishwa na jinsi wanasmile!. Wajameni, hii sio CCM -C on the making?.
Kuna jambo ambalo hulijui nalo ni kwamba wale wa Chadema waliokuwa Ikulu leo hapakuwa na size yao pale kuanzia JKhadi wapambe wake akina Chikawe .Pia unasahau kwamba Ikulu ni ya Watanzania si mali ya CCM .Ukiyajua haya pia utakumbuka kwamba Mwenyekiti Mbowe hata bila ubunge tayari ana pesa na maisha zaidi ya Ubunge kwa kigezo chake cha uwezo wa kipesa CCM imeishindwa Chadema but wameweza CUF .
Timu ya CCM inaonekana kupwaya sana na inaelekea ni jinsi gani serikali ya CCM haiko serious kwenye hili jambo la Katiba. Wassira, Nchimbi, Lukuvi wana uelewa kwenye mambo ya katiba kuliko Samweli Sitta?
Sina chama mkuu,lakini nashukuru kwa kunifahamisha.We Mushi weee,
Unataka hisani ya nani tena wakati aliyebandika hii picha yeye mwenyewe alikuwepo hapo kikaoni...
Halafu unaonekana huwajui viongozi wako, humuoini Prof. Baregu, Safari, na Mzee Arfi wa Mpanda hapo (mwenye kibarakshea)..
Kafanya makusudi kwasababu anajuwa hiyo ni zile za ki "Freemasons"
Ama hii...
sasa wewe naandikaje? mbona mimi panaelewa wewe? nyoosha kindogo swahili yako.Mimi pana tatizo, iko toa mchango kama iko piga na Rais, sema tu iko taka ngapi? "Usiche na umaarufu una gharama yake?
Watu wasio na Maono hawataielewa CDM, kama mlitarajia waende ikulu wamekunja sura..hujui maana Halisi ya Siasa!
mashaka yangu ni uwepo wa huyu bwana tyson, sijui kama kikao kitaenda vizuri,
mashaka yangu ni uwepo wa huyu bwana tyson, sijui kama kikao kitaenda vizuri,
Wakiwasili viwanja vya Ikulu
Wassira akiwapokea Ikulu.
Membe akiomba udhuru akahudhurie mazishi ya maaskofu waliokufa ajalini. Mazishi yamefanyika Pugu jijini Dar es Salaam
Viongozi wa CHADEMA baada ya kupokelewa Ikulu
Rais Kikwete akiwapokea
JK na Mbowe wakisalimiana
Rais Kikwete na ujumbe wake akiwa kwenye picha ya pamoja na ujumbe wa CHADEMA ikulu jijini Dar es Salaam. Nini kinaendelea, tutege masikio maana kwa mtazamo wangu tofauti zetu zitaondoka tu kwa kukaa pamoja na kuafikiana maafikiano kwa manufaa ya taifa letu, kila upande kuwa tayari kuvumilia vinginevyo ngangari si suluhisho la matatizo na nguvu ya dola ni kuleta taharuki zaidi ya mwafaka.
JK akisalimiana na Lissu