PICHA: CHADEMA wakutana na Kikwete Ikulu

Hizo picha zinaonyesha ni jinsi gani hao viongozi wa CDM walikuwa na hamu ya kuingia ikulu. Am sure baada ya kufika hamna cha maana walichozungumza zaidi ya salam na kucheka cheka tu.

Kuna jambo ambalo hulijui nalo ni kwamba wale wa Chadema waliokuwa Ikulu leo hapakuwa na size yao pale kuanzia JKhadi wapambe wake akina Chikawe .Pia unasahau kwamba Ikulu ni ya Watanzania si mali ya CCM .Ukiyajua haya pia utakumbuka kwamba Mwenyekiti Mbowe hata bila ubunge tayari ana pesa na maisha zaidi ya Ubunge kwa kigezo chake cha uwezo wa kipesa CCM imeishindwa Chadema but wameweza CUF .
 
Mkuu unaweza kutuambia hii picha ni kwa hisani ya nani ili tuweze kuona kama waliorodhesha majina kwa mpangilio ya walioko kwenye picha?

Pia sometimes ni vyema ku acknowledge kazi za watu na useme umeitoa wapi.

Ni ushauri tu,kuweka source pia ni njia mojawapo ya ku appreaciate kazi ya mwenzako.

We Mushi weee,

Unataka hisani ya nani tena wakati aliyebandika hii picha yeye mwenyewe alikuwepo hapo kikaoni...

Halafu unaonekana huwajui viongozi wako, humuoini Prof. Baregu, Safari, na Mzee Arfi wa Mpanda hapo (mwenye kibarakshea)..
 
:tongue::photo::eyebrows::eyebrows::A S 465::A S 465: peoples powerrrrrrrrrrrr....................................
 
it looks like a good political gesture by both parties especially if it leads to meaningful dialogue to resolve current constitutional making hurdles
 
Jamani wana jf, hebu tupeni updates za yaliyozungumzwa Ikulu, maana naona tumeanza kujadili watu badala ya hoja. Ni mtazamo tu.

small minds discuss people, Average minds discuss events, Great minds discuss ideas, Genius silently acts.! We uko wapi? Mi nimeanza kufanya ushawishi wa kuikataa hiyo katiba watakayoandika.
 
mpaka hapo nafikiri watakuwa wamedisprin mambo fulani,, ikulu c mahala pa kukimbilia na nindhani mh, rais kawaonyesha majukumu ya kitaifa ambayo yanapaswa kushugulikiwa kwa kutumia busara na uvumilivu cy kukimbilia maandamano2 na mambo yasiyokuwa na suruhu,, pia kuna ramani ya tanzania pale inayojumuisha visiwa vye2 vya pemba na unguja cjuwi hao chadema na msimamo wao hasi wataiweka wapi hy?. mkuu kawapa true jinsi nchi inatakiwa kuendeshwa.

Ungekuwa na busara zaidi kama ungetoa hoja za hekima za kumsaidia JK na CCM ambao wako ICU kwa kutowasikiliza watanzania. Ukisha kula hata kama ni cha CCM usisahau kuwa utaenda chooni upende usipende.
 
Najiuliza kama mtanzania mpenda amani sipati jibu la moja kwa moja, kwa nini Chadema walitoka bungeni wakati Rais JK, akihutubia halafu leo wamekwenda wenyewe Ikulu tena kwa kumuomba Rais JK, huu ni udhaifu mkubwa unaonyeshwa na viongozi wa Chadema
 
Najiuza kama mtanzania sipati jibu la moja kwa moja, kwa nini Chadema walitoka bungeni wakati Rais JK, akihutubia halafu leo wamekwenda wenyewe Ikulu tena kwa kumuomba Rais JK, huu ni udhaifu mkubwa unaonyeshwa na viongozi wa Chadema
Ndio maana unaambiwa kuwa siasa ni mchezo mchafu.
 
mashaka yangu ni uwepo wa huyu bwana tyson, sijui kama kikao kitaenda vizuri,

Mimi pana tatizo, iko toa mchango kama iko piga na Rais, sema tu iko taka ngapi? "Usiche na umaarufu una gharama yake?
 
Najiuliza kama mtanzania mpenda amani sipati jibu la moja kwa moja, kwa nini Chadema walitoka bungeni wakati Rais JK, akihutubia halafu leo wamekwenda wenyewe Ikulu tena kwa kumuomba Rais JK, huu ni udhaifu mkubwa unaonyeshwa na viongozi wa Chadema

they've gone to apologize to The President.. wameanza kukua... akili za ki utu uzima zawaingia sasa.. Hongren kwa kutambua Kosa lenu CDM
 
jamaa kumbe kelele zote wanaonea gere CUF
hakuna tofauti.kikwete ndo mshindi ile misimamo ya kisusia hotuba yote bure kabisa.walimwonea zito
 
Duh naona makamanda wamekanyaga Ikulu huenda ikawa ni dalili njema kwao kuwa mara nyingine watakanyaga ikulu wakiwa wenyeji na wala si wageni!
 
Back
Top Bottom