PICHA: CHADEMA wakutana na Kikwete Ikulu

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,883
6,884
24gvpqh.jpg

Wakiwasili viwanja vya Ikulu

2q16w4p.jpg

Wassira akiwapokea Ikulu.

ipuwxd.jpg

Membe akiomba udhuru akahudhurie mazishi ya maaskofu waliokufa ajalini. Mazishi yamefanyika Pugu jijini Dar es Salaam

2csgzo3.jpg

Viongozi wa CHADEMA baada ya kupokelewa Ikulu

1eqd6p.jpg


30t5aao.jpg

Rais Kikwete akiwapokea

16hnex4.jpg

JK na Mbowe wakisalimiana

2zegrhk.jpg


16iwdaa.jpg


10hszea.jpg



15g2dkx.jpg


1584cc8.jpg


Rais Kikwete na ujumbe wake akiwa kwenye picha ya pamoja na ujumbe wa CHADEMA ikulu jijini Dar es Salaam. Nini kinaendelea, tutege masikio maana kwa mtazamo wangu tofauti zetu zitaondoka tu kwa kukaa pamoja na kuafikiana maafikiano kwa manufaa ya taifa letu, kila upande kuwa tayari kuvumilia vinginevyo ngangari si suluhisho la matatizo na nguvu ya dola ni kuleta taharuki zaidi ya mwafaka.


1b0ol.jpg


JK akisalimiana na Lissu

CDM6.jpg


Rais Kikwete akiwakirimu wajumbe toka Chadema Ikulu jijini Dar es Salaam

c10.jpg


Vyombo vya habari kama ada tukio kama hili adimu wanahakikisha hakuna litakalopitwa.
 
Mkuu, hao wengine ni kina nani?

Hapo nimewatambua JK,Mbowe,Tyson,Nchimbi,nadhani Mnyika.

Wengine sijaweza kuwa id.

However kila mmoja ana tabasamu na hivyo inawezekana matokeo ya kikao ni mazuri...

Unless ni furaha tu ya kupiga picha na rais?
 
Nimefurahishwa na jinsi wanasmile!. Wajameni, hii sio CCM -C on the making?.
Pasco kama mliweza kuzalisha CCM B sahau kuhusu CCM C!!!! Hawanunuliki kwa sahani za ubwabwa kama akina yakheee wewe.
 
Picha inaongea,kuna mambo wameafikiana wanasiasa hawa kwa manufaa ya kitaifa.Tusubiri mambo yatakuwa wazi si muda mrefu.maana cdm wako njiani kutoa majibu kwa waliowatuma.
 
upande wa serikali hamna kitu hapo chikawe,kombani,tyson,nchimbi na lukuvi ndio wanapotosha rais kila siku.
kama ameona kuwa wanaweza kumsaidia kwa hili kachemsha kwani misimamo yao inajulikana.
 
kumbe magwanda yanaruhusiwa ikulu!
Mpaka ukombozi wa ukweli upatikane nchi hii, pale tutakapoacha kuwapa watu rasimali ambazo zingetutoa kwenye kuwa omba omba na serikali nidhamu ya matumizi itakapotamalaki.
 
mashaka yangu ni uwepo wa huyu bwana tyson, sijui kama kikao kitaenda vizuri,
 
Mkuu unaweza kutuambia hii picha ni kwa hisani ya nani ili tuweze kuona kama waliorodhesha majina kwa mpangilio ya walioko kwenye picha?

Pia sometimes ni vyema ku acknowledge kazi za watu na useme umeitoa wapi.

Ni ushauri tu,kuweka source pia ni njia mojawapo ya ku appreaciate kazi ya mwenzako.
 
Yaani upande wa serikali unakuwa na LUKUV, NCHIMBI, MWINYI? tuna safari ndefu hawa ni hamna kitu kabisa

Mwinyi yupo wapi hapa? Mbona unaleta ushabiki humu ndani? Hivi unamuona tundu nusu alivyopozi huwoni Kama kafurai Sana kukutana na jk?
 
Inatia moyo tusubiri tusikie yaliyojiri, binafsi siamini kwamba sura na haiba ya mpiganaji ni lazima ikae kikazi kazi muda wote sometimes increase your day by smiling you loose nothing especially when things are conducive.
 
Back
Top Bottom