Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ninavyoichukia CCM mpka hata mtu anapotumia rangi uliyotumia huwa nachukia sana...hili lichama acha tulizike kabisa...Ikimbukwe kwamba hata enzi za kutafuta uhuru wa Afrika ya Kusini Mandela aliitwa Mchochezi hapa Tanzania Nyerere, Karume, kule Kenya Kenyatta wote waliitwa wachochezi SASA MNASHANGAA NINI CCM kuwaita watetea haki na raslimali kuitwa wachochezi.
Makamanda wazidishe mapambano tu, hata enzi za Idd Amin wakati wa vita ya Kagera Idd Amin aliendelea kutangaza kwamba majeshi ya Tanzania yanapigwa vibaya sana, na kwamba wote walioingia katika ardhi ya Uganda hawatarudi kwao salama bali watakuwa chakula cha mamba kwenye mto Nile.
ALUTA CONTINUA
Tafakari!!!!!!!!!!!
Yaani ninavyoichukia CCM mpka hata mtu anapotumia rangi uliyotumia huwa nachukia sana...hili lichama acha tulizike kabisa...
Jana watu waligoma kwenda makwa wanataka kukaa na diwani wao Lema alipata wakati mgumu sana kuwabembeleza wasambaa kwenda makwao, wakati huo CCM mkutano wao uliokuwa ufanyike Olematejo ulivunjika kwa kukosa watu....Kazi nzuri sana.
Jana watu waligoma kwenda makwa wanataka kukaa na diwani wao Lema alipata wakati mgumu sana kuwabembeleza wasambaa kwenda makwao, wakati huo CCM mkutano wao uliokuwa ufanyike Olematejo ulivunjika kwa kukosa watu....
Yaani ninavyoichukia CCM mpka hata mtu anapotumia rangi uliyotumia huwa nachukia sana...hili lichama acha tulizike kabisa...
Kazi nzuri sana.
Kwa hapa arusha ccm wataambulia patupuu...! CHADEMA YATOSHA,HARAKATI ZIENDELE Mpka KIELEWEKE...!
Kwa hapa Arusha usiogope kamanda sijui huko kwingine...
utakufa wewe utaiacha ccm inadunda daima..kidumu chama cha mapinduzi
utakufa wewe utaiacha ccm inadunda daima..kidumu chama cha mapinduzi
Yaani ninavyoichukia CCM mpka hata mtu anapotumia rangi uliyotumia huwa nachukia sana...hili lichama acha tulizike kabisa...
Ccm hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, ccm juuuuuuuuuuuu juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Ni kweli mkuu, njaa mbaya..!Ccm ipo juu ya mgongo wako,na inakuelemea kweli,ila ndio njia pekee ya kukupatia rizki.