Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,445
- Thread starter
- #301
Comment hazijajaa bali ni karim peke yake ndo anazijazaYaani huku kuna jaa komenti kuliko jukwa la siasa sijui kwanini wajameni
Unazitoa wapi hizi mkuu niruhusu unirushie tu zote via wasp
Huyu dem anaitwa nani bouy mkali
Huyu dem anaitwa nani bouy mkali
nimetamani atokee mgamnga anambie kijana nakupa adhabu ya kuku geuza kitako cha baiskeli"Nami yangu from mbeya village View attachment 1144926
Kweli aisee,hyo picha mbona hata kilosa inaweza kupatikana Kuna mashamba Kama hayo mengi tu au kule mtibwa na kilombero pia.Kuna Uzi kule maalumu unaitwa
MADA MAALUMU YA WALEVI NA WANYWA POMBE
nenda kule ukajumuhike mzee
"special kwa thread"
Sema hapo nilichokiona ni kwamba hao waliopo kwenye picha ndio wazuri ndio maana na picha imekuvutia.Picha bora ya mwaka Africa? yangu ndio hiiView attachment 1142652
Kweli aisee hivi watoto wenye uzur wa asili Kama hao wanapatikana wapi Tanzania?Hicho cha kulia kimekaa utamu basi tu.
Dah ni mateso bila chukiHatari lakini salamaView attachment 1144150