ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,235
- 2,123
lakini huyu siyo................ila dah niligonga bila ndomu kule miaka 10 iliyopita sijui kama nimesalimika..% kubwa ya wanawake SA wana HIV na ni wazuri kupindukia.
lakini huyu siyo................ila dah niligonga bila ndomu kule miaka 10 iliyopita sijui kama nimesalimika..% kubwa ya wanawake SA wana HIV na ni wazuri kupindukia.
kila hosp. ina kitengo icho we nendawapi mkuu na mimi nitembelee? maana dah tunakutana nao kitaa halafu tunawashobokea bure kumbe....
basi sawakila hosp. ina kitengo icho we nenda
Mwishon mwa mdomo afu cha kuongezea ukiwaangalia ngozi yao kama imepauka flan..hukiona hivi ni signal kaunguaVidonda sehemu gani haswa kwa hapo mdomoni
Wema nae ni mkali?Ukitembelea kwenye clinic wanakochukua dawa utajionea mwenyewe,kuna warembo wakari wema anasubiri,sasa huyo kumuita mrembo ni kuwakosea adabu warembo,huyo sawa na amberruty
Haha we utakuja kufa kizembe ukimwi haupimwi kwa macho ndugu, kupauka kwa ngozi ujue aliungua mda mrefu sana, tumien ndomu acheni zinaa...Mwish
Mwishon mwa mdomo afu cha kuongezea ukiwaangalia ngozi yao kama imepauka flan..hukiona hivi ni signal kaungua
Kweli kabisa hata ukianzia kwa Dada zao ndo utachoka afu anakuja kuponda binti yuko ivoWanaume huku wanajifanya kumponda sio mrembo kisa ashaukwaa(huu ni unyanyapaa wa kujua au kutokujua) lakini wengi wao mademu/wake zao walionao hawamfikii hata nusu kwa urembo huyo binti wa south.
Afu wanavyomponda utafkiri wanaishi nchi nyingine wakati huku kitaa tuko nao na dada zetu wa kibongo tunawajua.Kweli kabisa hata ukianzia kwa Dada zao ndo utachoka afu anakuja kuponda binti yuko ivo
Ila kuna hawa wanaotumia ARV naskia wao wanakua wapo fresh kama watu wengine ndo tatizo linaanziaga hapoMwish
Mwishon mwa mdomo afu cha kuongezea ukiwaangalia ngozi yao kama imepauka flan..hukiona hivi ni signal kaungua
Wala sio mrembo huyo mbona ni binti wa kawaida tu!, Hata nikipishana nae njiani sina haja ya kugeuka tena kumcheki upya. Japo ana miguu mizuri pia nampongeza kwa ujasiri na kukubali kuipokea hali ya Afya yake. Watu wenye ujasiri wa hivi huwa wanaishi miaka mingi na maambukizi bila kutetereka.
Mkuu kila mwanaume wa jf ana mke/demu mkali kuliko wema au jokate.
si vibaya kujipa moyoBinti huyo alionya dhidi ya unyanyapaa akisema kuwa mtu anaweza kufariki kutokana na maradhi hatari yasiyo tiba na kumwacha anayeishi na virusi akiendelea na maisha yake.
nayo ni dalili kumbeUkimchunguza vizuri utakuta ana tuvidonda mdomoni,wapo wengi sana bongo.