PICHA: Biashara chini ya 4 milioni

KWA HALI KAMA HII 👇 UNATEGEMEA MADUKA MANGAPI KUWA HAI ZAIDI YA KUGAWANA BIDHAA NA KUPANGA BARABARANI..?View attachment 963901


Unakuta machinga wanapanga hivo mbele ya duka lako na wewe unauza vyombo hivo hivo ,,,,wewe kodi kibao yeye hamna chochote na anauza bei rahisi tofaut na wewe huko dukani, ,kwa siku mwenzio anauza zaid yako mwenye fremu na huoni aibu kujiita Machinga,,

Mazingira ya kufanya biashara Tanzania sio kabisa
 
Hivyo vyombo havifiki milioni 3, so yupo sahihi


unajuaje hivyo ndio vyombo vyote vya mtaji alivyonavyo ndani ?

Waziri Selemani Jafo wa TAMISEMI ambae watu wake ndio wamekabidhiwa zoezi hili inabidi arudi Ikulu akapewe ufafanuzi wa vitambulishow.
 
Wazo ni jema kuongeza wigo wa kodi, Sina hakika utafiti ulifanyika wapi wa 4M ,Tzs, mkuu anawapa taabu sana TRA na watendaji wake kutekeleza hili,kodi INA kanuni zake.Si suala la siasa ama matamko.
Naamini maelezo yatabadilika maana inawezekana kabisa alipitiwa.kwa sheria iliyopo kama biashara INA annual turnover ya chini ya tzs4mln,hailipi kodi.hvyo basi inawezekana tumemnukuu vibaya au hatukumuelewa!
 
Hapo kwenye mtajiQUOTE]Sidhani kama maelezo yataendelea kubaki hivyo. Sheria ya kodi inasema biashara yenye ANNUAL TURNOVER ya chini ya TZS 4MN ndio haipaswi kulipa kodi na si yenye MTAJI wa TZS4MN,vinginevyo makusanyo ya kodi yatashuka sana maana biashara zenye mtaji wa TZS 4mn na kushuka chini nchi hii ndio nyingi na lengo ni kuwa na walipa kodi wengi kati ya watz milioni55!
 
NINI KIFANYIKE..?
Unakuta machinga wanapanga hivo mbele ya duka lako na wewe unauza vyombo hivo hivo ,,,,wewe kodi kibao yeye hamna chochote na anauza bei rahisi tofaut na wewe huko dukani, ,kwa siku mwenzio anauza zaid yako mwenye fremu na huoni aibu kujiita Machinga,,

Mazingira ya kufanya biashara Tanzania sio kabisa
 
unajuaje hivyo ndio vyombo vyote vya mtaji alivyonavyo ndani ?

Waziri Selemani Jafo wa TAMISEMI ambae watu wake ndio wamekabidhiwa zoezi hili inabidi arudi Ikulu akapewe ufafanuzi wa vitambulishow.
Hapo anachukuliwa ndio vyombo vyake vyote, unless you can prove otherwise
 
Hapo anachukuliwa ndio vyombo vyake vyote, unless you can prove otherwise



huwezi kum “prove otherwise” kwa sababu kitendo cha kupanga mazaga zaga barabarani au kupika chipsi vumbi na makuku ya kukaanga au pweza ukiwa umevaa kitambulisho cha Ikulu, TAMISEMI, kitendo hicho hakitahojiwa na binadamu yeyote. Rais amesema.

Mgambo wa Manispaa au TRA hana mamlaka ya kusogelea achilia mbali kugusa na kukadiria mtaji kwenye duka la mtu mwenye kitambulisho cha Ikulu, TAMISEMI.

Na wale ambao kwa sasa hawana biashara ila wanataka kuingia, hawajasema nani anaruhusiwa kukipata kwa sababu hata Rais anacho, namba T0000000, japo hatujui Rais umachinga wake ni nini. Which means kinadharia nchi nzima tunaweza kupewa wakati tunajipanga kumwaga chinese rubbish barabarani kama Rais alivyopata chake.

Selemani Jafo, bosi wa ma DC, arudi kwa State House liason, Chief Secretary Kijazi, apewe ufafanuzi.

Otherwise, as it is right now, it is such a seismic, daring, conjob enterprise architectured by the State House.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom