seniorgeek
JF-Expert Member
- Sep 18, 2008
- 500
- 128
Hawa mafara hawaoni hata aibu kujitanua hivyo.
Poor Tz.
Poor Tz.
london oyeeeeeeeeee
walijitenga? nasikia huyu dogo baba yake alihonga akapata nafasi ya kwenda kuchezea maji landani......
Hiyo kitu ni kama hakuna sasa hivi.Labda tipwa tipwa na awe na kipato kizuri na kinachoeleweka. Na is chini ya miaka kumi kupata ya moja kwa moja.Nashangaa hawakujilipua hao....
hawa masifuri hata mimi mbio hawaniwezi....hawa hata kufukuza kuku tu wanaweza kushindwa....sijui wanakula kitimoto au ndo midebwedo!wanakera kweli, bora hata wasingeenda kuliko kwenda afu wanatuletea fezea.....uganda kuna gold, kenya ndo usiseme....tz mkia.
Hizo Kamba zinazonin'inia shingoni nilifikiri ni medali, kumbe vitambulisho vya Olympic! WaTanzania hatujitambui. Halafu wanafanyiwa party ya nini!? Kesho tutaletewa Invoice kutoka ubalozini kwamba hiyo party iligharimu £ 30,000.
Daah! Inauma kuwa MTANZANIA.
Tupewe medal ya kutokuwa na aibu
mbona basi hukwenda kushiriki?