Hahaha upo kimya sana Bishop Toto TunduHakika furaha imetoka moyoni. Upendo usiopimika!
View attachment 1576498
Aliwahi kutangaza au umemjuaje?Aende hadi kwenye kampeni kabisa!
Huyu najulikana ni chadema ila huwa anajificha kwenye dini
Anapata harara na muwasho mwili mzima kama mtu aliyepata mzio mbayaYule bwana akiona picha hii anatamani kujinyonga.
Kile nacho ni chuma,hakiyumbi.Aende na kwa askofu yule wa kikatoliki aliyeambiwa athibitishe uraia wake
Hilo nalo neno.Lkn shida haianzi kwa jamii,shida inaanzia kwa viongozi wenyewe wa siasa.Shida wabongo hatuna utamaduni wa kuheshimu mawazo tofauti ya watu,ila tunataka tuwe na uongozi wenye kuheshimu uhuru wa kutoa maoni wakati sisi kama jamii(ambao ndio hutoka viongozi) hatuna huo utamaduni.
Bagonza ni wakala wa beberu kama beberu wengine! Hivi unajua mpaka leo familia yake iko marekani, kwanza ni mchepukaji kama wengine, huyu askofu hana maadili. Avue kora avae gwanda kama Msigwa sio kujificha kwenye kivuli cha diniHakika furaha imetoka moyoni. Upendo usiopimika!
View attachment 1576498
Kama mtu binafsi, anayo haki na pia ni haki yake both kikatiba na kiutu/kibinadamu kuwa na utashi na uchaguzi wa amuunge nani mkono kisiasa au aunge chama gani mkono kisiasa. Msimpige madogo kwa hili alilofanya huyu Askofu.Aende hadi kwenye kampeni kabisa!
Huyu najulikana ni chadema ila huwa anajificha kwenye dini
Haya ni MADUA YA KUKU HAYAMPATI MWEWE na laana isiyo haki haimpati mlengwa!Asante Baba Askofu! Kwanini uwe mnafiki dhidi ya nafsi yako mwenyewe? Maandiko matakatifu iwe katika Biblia takatifu au Qurani tukufu yote yanakataza dhambi za dhuluma, ubaguzi, ubinafsi, uonevu na ukandamizaji! Haya matendo kwasasa ndio maisha ya kila siku ya CCM na viongozi wake na taasisi zilizoundwa na serikali yake, Ajabu kuna viongozi wa dini bado wanaungaga mkono na kutetea na kubariki uovu wa chama hiki! Mwenyezi Mungu akawalipe mshahara sawasawa na matendo yao!
Anatambua mipaka yake hakurupuki kama yule wenyu wa phonerotica
Hao viongozi ni reflection ya jinsi jamii ilivyo.Hilo nalo neno.Lkn shida haianzi kwa jamii,shida inaanzia kwa viongozi wenyewe wa siasa.
Hana tofauti na wakina Alhad Mussa wa bakwata. Wote hawa vyama vyao vinajulikanaAende hadi kwenye kampeni kabisa!
Huyu najulikana ni chadema ila huwa anajificha kwenye dini
Unaweza weka picha wakionana kablaKwamba hawakuwahi kuonana?