Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
Huyu jamaa apuuzwe, toka hapa Jf kauze sura kwenye blog yako na akina wema sepetu, kila ukijaribu kutaka uongozi unapigwa chini, halafu unatokwa povu kutetea magamba, shame on you! CCM ina wenyewe akina pindi chana.- Baada ya kushindwa uchaguzi kila mara ungetegemea kuwa sasa mmeamuka lakini wapi, mpaka leo hamjajifunza kwamba kujaa kwa wananchi kwenye mikutano sio kuwapa kura nyingi za urais, hivi hilo lichama mna nini hasa? Mbona mna shida sana kuelewa!!
LE Mutuz!!
Hivi blogu yako ya udaku inaendeleaje?