Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 872
Ajali ya gari imetokea eneo la Lililokaribu sana na mpaka wa Mkoa wa Njombe na Ruvuma.
Kutoka Njombe ni Kilometa 68 tu.
Utaona jinsi wasamaria wakijitahidi kupakua baadhi ya mifuko iliyobaki baada ya lori hilo kupinduka.
Mbolea hiyo ilikuwa ifikishwe Mkoani Ruvuma.
Kutoka Njombe ni Kilometa 68 tu.
Utaona jinsi wasamaria wakijitahidi kupakua baadhi ya mifuko iliyobaki baada ya lori hilo kupinduka.
Mbolea hiyo ilikuwa ifikishwe Mkoani Ruvuma.