The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Habari wanaJF,
Kwanini?Hii mikitu ioneni tuu hivi, inatishaga ukiwa angani
Hii mikitu ioneni tuu hivi, inatishaga ukiwa angani
Kwa hiyo mlijua ni Terrorist sio?Kuna siku nilikuwa oliver tambo Airport na Jenerali Ulimwengu
Sasa katika harakat za kupanga panga mizigo tumetulia muda mchache kabla hatujaanza safari, wale wahudumu wa kuelekeza maeneo ya dharura wanaosimama pale mbele wapo timamu, akasimama Kipande cha Jamaa wa kiarabu ana mzuzu hatare very serious na kwa haraka akaelekea kwny staff carrier kuchukua mzigo wake sijui kuna kitu gani alisahau
Tulitahayari kwa sekunde kadhaa watu wote wa eneo lile hatujui cha kufanya…usafiri ule ni roho mkononi sana kwa sie tuliozoea Kimbinyiko na saratoga
Inakuwa kama umeikabidhi roho yako kwa mtu mwingine halafu lijamaa linafanya nayo masihara angani. Ikimpinyoka tu bye byeKwanini?
Hazizoeleki aiseee..Ndege muisikie tu. Kuna times kule juu mnacheza cheza na kuyumba unahisi mimi ndio basi tena hapa nishakufa. Roho juu sana kule angani acheni kabisa.
Kuna siku nimepanda na mama wa Kiislamu ndio next to me. Yaani kajifunika majuba mwanzo mwisho wa safari haongei, hali, halali, kajiinamia tu. Anabadilisha mikao....sijui alikua anatubu yule.
Nyie acheni tu.
Sikuwahi kujua kuna wanaume wenye phobia ya ndege. Binafsi hofu yangu ni worse ..ndege.. elevator... kuwa juu sana kwenye majengo marefu. Yote yana similar effect kwangu. Wewe unapatashida kwenye ndege tuu mkuu? Au na hayo mengineNdege muisikie tu. Kuna times kule juu mnacheza cheza na kuyumba unahisi mimi ndio basi tena hapa nishakufa. Roho juu sana kule angani acheni kabisa.
Kuna siku nimepanda na mama wa Kiislamu ndio next to me. Yaani kajifunika majuba mwanzo mwisho wa safari haongei, hali, halali, kajiinamia tu. Anabadilisha mikao....sijui alikua anatubu yule.
Nyie acheni tu.
Aliwafanyia kusudi kuwarusha roho.Kuna siku nilikuwa oliver tambo Airport na Jenerali Ulimwengu
Sasa katika harakat za kupanga panga mizigo tumetulia muda mchache kabla hatujaanza safari, wale wahudumu wa kuelekeza maeneo ya dharura wanaosimama pale mbele wapo timamu, akasimama Kipande cha Jamaa wa kiarabu ana mzuzu hatare very serious na kwa haraka akaelekea kwny staff carrier kuchukua mzigo wake sijui kuna kitu gani alisahau
Tulitahayari kwa sekunde kadhaa watu wote wa eneo lile hatujui cha kufanya…usafiri ule ni roho mkononi sana kwa sie tuliozoea Kimbinyiko na saratoga
Napenda sigara sana,Nashukuru siku hizi hakuna kuvuta sigara ndani, zamani safari ingekuwa chungu.
Kuvuta sigara ni dhambi..Napenda sigara sana,
Ndege raha yake wakati wa kufanya check ins, kuboard pale, kuweka mizigo kwenye staff carrier, kuwatazama wahudumu walivyopendeza vile, inapopaa na kuona unaiacha ardhi mdogo mdogo mpaka juu inakaa level kiasi unaweza kutembea.Hazizoeleki aiseee..
Mbona sioni Balimi na Kvant mkuu?Habari wanaJF,
Kweli? Kuna siku na mimi nitahakikisha ninayapanda, lazima. Ipo sikuHii mikitu ioneni tuu hivi, inatishaga ukiwa angani
karibu tuvute fegi mkuuNapenda sigara sana,