Oxygen gas
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 247
- 234
Wakuu, habari za muda huu na heri ya mwaka mpya 2019.
Moja kwa moja tujikite katika mada hii kama inavyosema hapo juu.
Masomo tajwa hapo juu ni moja ya masomo yenye ukakasi katika ufaulu.
Inasemekana ufaulu wa Geo huwa mkubwa kwa madaraja ya C&D ukilinganisha na madaraja ya A&B ambayo ni magumu kupatikana katika somo hili la wana Geography.
Upande wa Physics ufaulu si mkubwa kwa upande wa wasitani lakini kwa madaraja ya A&B ni ya kuridhisha ukilinganisha na Geography ambayo kuchomoa "A" si lelemama.
Swali kwenu wadau wa Elimu Tanzania
1. Je kati ya Geog na Physics lipi somo gumu zaidi katika usomaji na ufaulu?
2. Kwanini madaraja ya A&B kwa Geography ni nadra kupata ukilinganisha na Physics
3. Wanafunzi wanaosoma Physics ni bora sana ukilinganisha na wale wa Geography?
Wale wote tuliosoma/tunaosoma PCB,PCM,PCB,PGM,EGM,HGL,HGE & HGK. Jooni tushee ideas.
Cc
Moja kwa moja tujikite katika mada hii kama inavyosema hapo juu.
Masomo tajwa hapo juu ni moja ya masomo yenye ukakasi katika ufaulu.
Inasemekana ufaulu wa Geo huwa mkubwa kwa madaraja ya C&D ukilinganisha na madaraja ya A&B ambayo ni magumu kupatikana katika somo hili la wana Geography.
Upande wa Physics ufaulu si mkubwa kwa upande wa wasitani lakini kwa madaraja ya A&B ni ya kuridhisha ukilinganisha na Geography ambayo kuchomoa "A" si lelemama.
Swali kwenu wadau wa Elimu Tanzania
1. Je kati ya Geog na Physics lipi somo gumu zaidi katika usomaji na ufaulu?
2. Kwanini madaraja ya A&B kwa Geography ni nadra kupata ukilinganisha na Physics
3. Wanafunzi wanaosoma Physics ni bora sana ukilinganisha na wale wa Geography?
Wale wote tuliosoma/tunaosoma PCB,PCM,PCB,PGM,EGM,HGL,HGE & HGK. Jooni tushee ideas.
Cc