PHP Programmers I need help??

Investaa

JF-Expert Member
Jul 3, 2015
789
654
Habari wanaJF, nataka nidisplay data from database iwe hivi kwenye page, shida inakuja how to create sql query to do this and php scripts.

upload_2016-11-4_14-53-49.png
 
Dah, mkuu hua napenda kusaidia watu lakini sio kwa level hii aisee.
Unahitaji tukuandikie scripts zote, we umejaribu kufanya nini? Onyesha angalau ulichokijaribu sio unatupa swali unataka tusolve kila kitu we umekaa tu tukupe jibu u-copy na ku-paste unakua hujajifunza chochote.

Unaulizia kuhusu sql query kuleta hiyo table, labda we nikuulize, hizo data umezitunza vipi kwenye database yako? Bila kujua ulivyozitunza tutakusaidia vipi? Au unataka tukusaidie hadi schema nzima ya database? Kama unahitaji hadi schema basi nitakushauri uende usome upya, kitu rahisi kama hicho hakikufaa hata kuulizwa, hata mtu aliyekaa saa moja kujifunza mysql from zero anaweza kukifanya.
 
Habari wanaJF, nataka nidisplay data from database iwe hivi kwenye page, shida inakuja how to create sql query to do this and php scripts.

View attachment 429265
Kama unatumia yii2 framework ni rahisi sana. Yii2 ina extension inayoitwa gii. Extension hii ina gui interface ,baada ya kuconnect na database . Fungua gii select table unayotaka kuitengenezea ,click generate crud, umemaliza , gii itakutengenezea CRUD code ya hiyo table .gii inatumia active record class hivyo table yako kwenye browser itakuwa responsive
 
Dah, mkuu hua napenda kusaidia watu lakini sio kwa level hii aisee.
Unahitaji tukuandikie scripts zote, we umejaribu kufanya nini? Onyesha angalau ulichokijaribu sio unatupa swali unataka tusolve kila kitu we umekaa tu tukupe jibu u-copy na ku-paste unakua hujajifunza chochote.

Unaulizia kuhusu sql query kuleta hiyo table, labda we nikuulize, hizo data umezitunza vipi kwenye database yako? Bila kujua ulivyozitunza tutakusaidia vipi? Au unataka tukusaidie hadi schema nzima ya database? Kama unahitaji hadi schema basi nitakushauri uende usome upya, kitu rahisi kama hicho hakikufaa hata kuulizwa, hata mtu aliyekaa saa moja kujifunza mysql from zero anaweza kukifanya.



$sql = $connect->query("SELECT stid, MAX( CASE WHEN courseid = 'MATH' THEN marks END) MATH ,MAX( CASE WHEN courseid = 'ENG' THEN marks END) ENG,MAX( CASE WHEN courseid = 'KISW' THEN marks END) KISW,MAX( CASE WHEN courseid = 'GEO' THEN marks END) GEO,MAX( CASE WHEN courseid = 'HIST' THEN marks END) HIST,MAX( CASE WHEN courseid = 'CIV' THEN marks END) CIV,MAX( CASE WHEN courseid = 'VS' THEN marks END) VS, MAX( CASE WHEN courseid = 'SCI' THEN marks END) SCI FROM finalresults GROUP BY stid ORDER BY 1");
 
Tuone ulipofikia au kama unataka ufanyiwe kila kitu ni PM kwa bei rahisi kabisa , kama ni msaada screenshot code zako au weka code zako hapa tuone ulipofikia

<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta charset="utf-8">
<meta http-equiv="X-UA-Compatible" content="IE=edge">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">
<meta name="description" content="">
<meta name="author" content="">
<link rel="shortcut icon" href="../docs-assets/ico/favicon.png">
<title>SSM:: Lectures::</title>
<link href="css/bootstrap.min.css" rel="stylesheet">
<link href="css/bootstrap-theme.min.css" rel="stylesheet" type="text/css">
<link href="css/custom.css" rel="stylesheet">

</head>
<body>
<table class="table table-bordered table-hover">
<tr><th>StudentID</th><th>MATH</th><th>SCI</th><th>ENG</th><th>KISW</th><th>GEO</th><th>HIST</th><th>CIV</th><th>VS</th><th>Total</th><th>AVG</th></tr>

<?php

require_once("includes/dbconfig.php");



$sql = $connect->query("SELECT stid, MAX( CASE WHEN courseid = 'MATH' THEN marks END) MATH ,MAX( CASE WHEN courseid = 'ENG' THEN marks END) ENG,MAX( CASE WHEN courseid = 'KISW' THEN marks END) KISW,MAX( CASE WHEN courseid = 'GEO' THEN marks END) GEO,MAX( CASE WHEN courseid = 'HIST' THEN marks END) HIST,MAX( CASE WHEN courseid = 'CIV' THEN marks END) CIV,MAX( CASE WHEN courseid = 'VS' THEN marks END) VS, MAX( CASE WHEN courseid = 'SCI' THEN marks END) SCI FROM finalresults GROUP BY stid ORDER BY 1");

if($sql){

$sum = 0;

while($rows = $sql->fetch_assoc()){

$sum = $rows["CIV"] + $rows["ENG"]+ $rows["VS"] + $rows["KISW"] + $rows["GEO"] + $rows["HIST"] + $rows["SCI"] + $rows["MATH"];

print "<tr>";
print "<td>".$rows["stid"]."</td>";
print "<td>".$rows["MATH"]."</td>";
print "<td>".$rows["SCI"]."</td>";
print "<td>".$rows["ENG"]."</td>";
print "<td>".$rows["KISW"]."</td>";
print "<td>".$rows["GEO"]."</td>";
print "<td>".$rows["HIST"]."</td>";
print "<td>".$rows["CIV"]."</td>";
print "<td>".$rows["VS"]."</td>";
print "<td>".number_format($sum,2)."</td>";
print "<td>".number_format($sum/8,2)."</td>";
print "</tr>";

}

}

else{ print $connect->error; }

?>

</table>

</body>
</html>
 
Kama unatumia yii2 framework ni rahisi sana. Yii2 ina extension inayoitwa gii. Extension hii ina gui interface ,baada ya kuconnect na database . Fungua gii select table unayotaka kuitengenezea ,click generate crud, umemaliza , gii itakutengenezea CRUD code ya hiyo table .gii inatumia active record class hivyo table yako kwenye browser itakuwa responsive


Daah sijaanza kutumia Framework. Ila nataka nijifunze Laravel
 
Daah sijaanza kutumia Framework. Ila nataka nijifunze Laravel
itakuwa vizur,framework nyingi zina
implement Model-view-controller (MVC) design pattern, hilo ni tatizo dogo sana kutatua kama unatumia framework. Code yako inaonyesha unaanza from scratch sio mbaya lakin ,pia jaribu kutumia OOP kwenye php
 
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta charset="utf-8">
<meta http-equiv="X-UA-Compatible" content="IE=edge">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">
<meta name="description" content="">
<meta name="author" content="">
<link rel="shortcut icon" href="../docs-assets/ico/favicon.png">
<title>SSM:: Lectures::</title>
<link href="css/bootstrap.min.css" rel="stylesheet">
<link href="css/bootstrap-theme.min.css" rel="stylesheet" type="text/css">
<link href="css/custom.css" rel="stylesheet">

</head>
<body>
<table class="table table-bordered table-hover">
<tr><th>StudentID</th><th>MATH</th><th>SCI</th><th>ENG</th><th>KISW</th><th>GEO</th><th>HIST</th><th>CIV</th><th>VS</th><th>Total</th><th>AVG</th></tr>

<?php

require_once("includes/dbconfig.php");



$sql = $connect->query("SELECT stid, MAX( CASE WHEN courseid = 'MATH' THEN marks END) MATH ,MAX( CASE WHEN courseid = 'ENG' THEN marks END) ENG,MAX( CASE WHEN courseid = 'KISW' THEN marks END) KISW,MAX( CASE WHEN courseid = 'GEO' THEN marks END) GEO,MAX( CASE WHEN courseid = 'HIST' THEN marks END) HIST,MAX( CASE WHEN courseid = 'CIV' THEN marks END) CIV,MAX( CASE WHEN courseid = 'VS' THEN marks END) VS, MAX( CASE WHEN courseid = 'SCI' THEN marks END) SCI FROM finalresults GROUP BY stid ORDER BY 1");

if($sql){

$sum = 0;

while($rows = $sql->fetch_assoc()){

$sum = $rows["CIV"] + $rows["ENG"]+ $rows["VS"] + $rows["KISW"] + $rows["GEO"] + $rows["HIST"] + $rows["SCI"] + $rows["MATH"];

print "<tr>";
print "<td>".$rows["stid"]."</td>";
print "<td>".$rows["MATH"]."</td>";
print "<td>".$rows["SCI"]."</td>";
print "<td>".$rows["ENG"]."</td>";
print "<td>".$rows["KISW"]."</td>";
print "<td>".$rows["GEO"]."</td>";
print "<td>".$rows["HIST"]."</td>";
print "<td>".$rows["CIV"]."</td>";
print "<td>".$rows["VS"]."</td>";
print "<td>".number_format($sum,2)."</td>";
print "<td>".number_format($sum/8,2)."</td>";
print "</tr>";

}

}

else{ print $connect->error; }

?>

</table>

</body>
</html>
Unapata error gani kwenye hizo code zako
 
Unapata error gani kwenye hizo code zako

Hapa inaleta kama kawaida ila inaleta matokeo yote mi nataka ni filter terms na academic_year pamoja na darasa husika.

Kwa mfano form 1 terms 1 mwaka 2016 inipe matokeo.
 
Back
Top Bottom