Habari wakuu,
Kijana wenu PHP & JavaScript developer anatafuta kazi.
Nimesoma Computer science chuo kwa kipindi cha mwaka mmoja,sikuweza kuendelea kwa sababu ya kukosa mkopo.
Nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote hapa dar kwa malipo ya kiasi chochote niweze mudu gharama za maisha.
Unaweza test uwezo wangu kabla kwa kunipa project yoyote ile ya web, pia nafaham vizuri Framework ya PHP ya Laravel,na vuejs+reactjs kwa JavaScript.
Naweza design API pia kwa Laravel na kuzi integrate kwenye react native application.
Kwa yoyote atakayejitolea nitamfata PM.
Bila kuwa na kazi zozote ulizofanya ni ngumu kujiajiri, watu hawawezi kukuamini,natafuta sehemu nitakayo simama kwanza
Kijana wenu PHP & JavaScript developer anatafuta kazi.
Nimesoma Computer science chuo kwa kipindi cha mwaka mmoja,sikuweza kuendelea kwa sababu ya kukosa mkopo.
Nipo tayari kufanya kazi sehemu yoyote hapa dar kwa malipo ya kiasi chochote niweze mudu gharama za maisha.
Unaweza test uwezo wangu kabla kwa kunipa project yoyote ile ya web, pia nafaham vizuri Framework ya PHP ya Laravel,na vuejs+reactjs kwa JavaScript.
Naweza design API pia kwa Laravel na kuzi integrate kwenye react native application.
Kwa yoyote atakayejitolea nitamfata PM.
Bila kuwa na kazi zozote ulizofanya ni ngumu kujiajiri, watu hawawezi kukuamini,natafuta sehemu nitakayo simama kwanza