Photographers' Corner

1148322


Niliipiga wakati wa mchana wa jua kali...Morogoro maeneo ya kihonda.
 
Hapa tutakuwa tunashare picha tulizopiga au picha zilizopigwa na wapiga picha wengine ila zimetuvutia. Ikiwezekana vile vile tutakuwa tunaweka tips jinsi gani tumepiga picha, post processing etc etc.

Tukiweka picha za wapiga picha wengine tujaribu kuweka source na jina la mpiga picha.

daressalaam-1.jpg

Hii picha ilipigwa maeneo ya Kigamboni kutoka kwenye boti la kuelekea Zanzibar.
😇😇what a beautiful scene
 
68 Reactions
Reply
Back
Top Bottom