Photographers' Corner

Nilikuwa sijui kama kuna uzi kama huu. Nilikuwa na picha nyingi nimepiga kwa simu. Ngoja nizitafute.
 
Maneno ya kwenye magar
 

Attachments

  • 1432592263303.jpg
    1432592263303.jpg
    30.7 KB · Views: 1,444
Shot: Landing Gear
Camera: Canon 550D
Focal Length: 250mm (EF-S 55-250mm f/4-5.6 IS II)
ISO: 100
Exposure: 1/640
Location: Selander Brigde, Dar es Salaam.
Landing gear.jpg

Shot: Sister Peaks
Camera: Canon 5D Mark III
Focal Length: 105mm (EF 24-105mm f/4.0 IS L)
High Dynamic Range
Location: Himo Weigh Bridge, Kilimanjaro.

Kilimanjaro.jpg

Tukutane instagram elie_chansa
Tuambatane fb: Street Rover https://www.facebook.com/pages/Street-Rover/873467019340698
 
DryPort Isaka.....mwonekano wa sasa 2016...baada ya shughuli zote kufa..
 

Attachments

  • DSC00001.JPG
    DSC00001.JPG
    225.8 KB · Views: 428
Hapa tutakuwa tunashare picha tulizopiga au picha zilizopigwa na wapiga picha wengine ila zimetuvutia. Ikiwezekana vile vile tutakuwa tunaweka tips jinsi gani tumepiga picha, post processing etc etc.

Tukiweka picha za wapiga picha wengine tujaribu kuweka source na jina la mpiga picha.

daressalaam-1.jpg

Hii picha ilipigwa maeneo ya Kigamboni kutoka kwenye boti la kuelekea Zanzibar.
Wow! this is beautiful!!! aliyepiga yupo vizuri
 
Hapa tutakuwa tunashare picha tulizopiga au picha zilizopigwa na wapiga picha wengine ila zimetuvutia. Ikiwezekana vile vile tutakuwa tunaweka tips jinsi gani tumepiga picha, post processing etc etc.

Tukiweka picha za wapiga picha wengine tujaribu kuweka source na jina la mpiga picha.

daressalaam-1.jpg

Hii picha ilipigwa maeneo ya Kigamboni kutoka kwenye boti la kuelekea Zanzibar.


Duh, aisee...wewe unatafuta cheo...kumbe Tanzania tunaweza
 
picha nilizopiga mwenyewe, mimi sio mtaalamu na kamera yangu ni simu yangu, il napenda kupiga na kupost picha katika forums mablimbali, hizi nilipiga wiki iliyopita kwa wale ambao wnaelewa photography wanaweza kunikosoa, katika maeneo mbalimbali katika picha hizi
asanteni
IMG_5238.jpg

IMG_5204.jpg

IMG_5206.jpg


hizi hapa za mwaka jana
sh.jpg

http_imgloade.jpg

http_imgloade.jpg

http_imgloadCA57VBKY.jpg


angalia mti katikati ya jiji ulivyotunzwa vizuri
m2.jpg
Ndinda weka majina ili iwe rahisi kujua big up mkuu
 
Ndinda weka majina ili iwe rahisi kujua big up mkuu
Umenikumbusha mbali mkuu, Wakati huo mkuu sikua najua chochote kuhusu camera, nashukuru sasa hivi naweza kupig picha kidogo. ukitembelea uzi wa jiji la dar, picha nyingi za hivi karibuni nimepiga mweyewe. hizo hapo za juu ni zamani sana wakati ado mdogo nilikua school kati ya 2008 na 9
 
Habari wakuu. naipenda sana taaluma hii. natamani kukutana na photographer yeyote ili nimuulize maswali mawili matatu, hata mm nahtaji baada ya masomo yangu nifanye mishe hii
 
Habari wakuu. naipenda sana taaluma hii. natamani kukutana na photographer yeyote ili nimuulize maswali mawili matatu, hata mm nahtaji baada ya masomo yangu nifanye mishe hii
Hata wewe pia unaweza kuwa...just ukiwa eneo ambalo ni zuri take a snap
 
Back
Top Bottom