kaanaeli itaeli
Member
- Jun 4, 2014
- 8
- 3
big up cameraman
Somewhere!!!!!!!
Humu wengi mnatumia DSLR si ndio? Tunaomba muwe mnaweka na jina basi la camera zenu.. Good job wakuu
Ndinda hata mimi najifunza hizi picha ulitakiwa kutumia tripod/monopod kuzipiga ndio maana ile picha ya mwanzo car trails hazijaonyoka ,na kupiga long exposure lazimautumie tripod, cable realise au remote au una set self timer ,bado ni picha nzuri shida pia wenye magorofa kukuruhusu upande juu kwenye maghorofa yao.Pia inabidi uset ISO 100 kwaajili ya kupunguza noise,sababu hizi camera nyingi za kawaida kwa low light ni shida angalau zile Full Frame hata ukiset ISO zaidi ya 400 inakuwa poa kwa watu wa Canon 6D na 5Ds nakuendelea ndio zinafaa hasa kwa low light pia unaweza kupunguza noise kwenye LR au Adobe.Hizi zimepigwa na Camera aina ya Nikon D7100, maeneo ya msimbazi street. Mpiga picha bado sina uzoefu sana na picha hizi sijafanyia editing yoyote. Bado sijadownload free light room 
STILL LEARNING NIGHT PHOTOGRAPHY ....
Nice pic noma sana..