Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu, nimeku pmKwa njia rahisi tu.
Hakikisha unajua imei ya hiyo simu yako
Uwe na uthibitisho wa umiliki halali wa hiyo simu(risiti)
Lost report ya polisi.
Pia ufungue na jalada la kuibiwa hapo polisi baada ya hapo rudi nikuunganishe na mtu wa kukusaidia ila atataka hela tu. Minimum of 30k
Umeibiwa/umepoteza wapi?Wanajopo naombeni kusaidiwa kuitrace simu yangu iliyopotea/kuibiwa... Mwenye ujuzi huo tuwasiliane 0652823089
Nimepoteza namba yako ya simu Utanipa pole au unanipa tena namba?Pole kupoteza simu
Kapoteza ya Nokia mkuuSimu aina gani sio unasumbua watu kumbe ni iTel
Bosssss naendelea kukusubiriKwa njia rahisi tu.
Hakikisha unajua imei ya hiyo simu yako
Uwe na uthibitisho wa umiliki halali wa hiyo simu(risiti)
Lost report ya polisi.
Pia ufungue na jalada la kuibiwa hapo polisi baada ya hapo rudi nikuunganishe na mtu wa kukusaidia ila atataka hela tu. Minimum of 30k