Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbula!ndefu sana .
Ngoja nifute gari kwanza
Mpango ni mtu wa hovyo anasema eti usfiri mgumu, sijui nini ....nchi ya viwandaziDifference ya 2.0% -2018 had 6.7% 2019 kwa mazao ya chakula ni kubwa sana.
Reason anazozitoa waziri hazina uhalisia.
Kwanza anasema ni uhaba wa chakula kwa nchi jilani mean while wanatupiga ban wananchi kuuza chakula nje.
Pili,
Changamoto za usafirishaji ..wakati kwenye paragraph ya kwanza amesema kukua kwa uchumi wetu 2019 umechangiwa sana na ukuaji wa sekta ya usafirishaji( kwenye mfumuko wa bei anadai bei zimepanda sabab ya hizo changamoto)...
Wanaficha uhalisia ni wazi wakulima walikata tamaa kutokana na hasara waliokula kwa kupiga ban baadhi ya mazao kuuzwa nje , wakalazimika kuuza ndani kwa bei ya chini..
2019 wakulima wamekua discouraged kwa kiasi kikubwa kwahiyo wamelima kidogo ( ni chanzo kikubwa cha supply kuwa ndogo nchini)
Sent using Jamii Forums mobile app
Praise teamJapo kuna takwimu za kupika.. lakini kuna observation nimefanya!! Mosi, utitiri wa kodi ulikuepo hata kabla ya awamu hii ila kodi hizo hazikusimamiwa bali kulikuwa na loophole ya watu kukwepa kodi.Pili ni umadhubuti wa shilingi ya Tanzania katika awamu hii, kutoka mwaka 2010-2015 Shiliing ilishuka thamani kutoka sh 1500 per USD mpaka Tsh 2157 perUSD. Lakini toka 2015 mpaka leo Shilling imekuwa himilivu kwa kiasi kikubwa maana kwa sasa inabadilishwa kwa 2291per USD. Tatu mfumuko wa bei umekuwa maintained katika hali nzuri.. ni mwaka huu tu ambapo chakula kimepanda bei kwa kiasi kikubwa. Pesa hamna lakini watu wanakula na kweza kuishi.Nne bado tuna protectionism policy kubwa sana.Sheria zimebana sana hii inapelekea ugumu katika kuwekeza na kuendeleza biashara! FLEXIBILITY n muhimu sana katika kukuza uchumi na naamin hwatarudia makosa kama ya korosho na mazao ya chakula!! .. I stand to be lectured!!
Mpango ni mtu wa hovyo anasema eti usfiri mgumu, sijui nini ....nchi ya viwandazi
Mm sio praise team na wala sio mpinzani!! Ni mtu nayependa kujifunza!! Hayo ni maono yangu,ningependa kupata yakwako.. tunaelekezana na tutumie hoja ktika kufanya hìvoPraise team
He who remains neutral when there are oppressed and oppresors, he is an oppressor.Mm sio praise team na wala sio mpinzani!! Ni mtu nayependa kujifunza!! Hayo ni maono yangu,ningependa kupata yakwako.. tunaelekezana na tutumie hoja ktika kufanya hìvo
Ishara kamili kwa mtu aliyekwenda shule, na mtu anayejua anachokifanya.(4). Napenda kuwaahidi Watanzania kwamba, kwa msaada wa Mungu, nitaendelea kufanya kazi kwa bidii na kwa kushirikiana na watumishi wenzangu katika Wizara na Serikali nzima, ili kutoa mchango mzuri katika kuijenga Tanzania mpya. Ndugu Waandishi wa Habari, Ninyi ndiyo kiungo kati ya Serikali na wananchi katika kuwafikishia sera, mipango, mikakati na taarifa mbalimbali kuhusu mafanikio ya Serikali katika kuwapelekea maendeleo na juu ya fursa zilizopo katika sekta binafsi. Ninyi pia ndio mnaoleta mrejesho Serikalini kuhusu maoni, ushauri na dukuduku za wananchi. Vilevile, ninyi mnawakilisha sekta ambayo ni miongoni mwa sekta tano zinazokua kwa viwango vikubwa. Katika mwaka 2018 sekta ya habari na mawasiliano ilikua kwa kiwango cha 9.1% na 10.7% kwa kipindi cha Januari-Juni 2019.
Very very fair observation.Japo kuna takwimu za kupika.. lakini kuna observation nimefanya!! Mosi, utitiri wa kodi ulikuepo hata kabla ya awamu hii ila kodi hizo hazikusimamiwa bali kulikuwa na loophole ya watu kukwepa kodi.Pili ni umadhubuti wa shilingi ya Tanzania katika awamu hii, kutoka mwaka 2010-2015 Shiliing ilishuka thamani kutoka sh 1500 per USD mpaka Tsh 2157 perUSD. Lakini toka 2015 mpaka leo Shilling imekuwa himilivu kwa kiasi kikubwa maana kwa sasa inabadilishwa kwa 2291per USD. Tatu mfumuko wa bei umekuwa maintained katika hali nzuri.. ni mwaka huu tu ambapo chakula kimepanda bei kwa kiasi kikubwa. Pesa hamna lakini watu wanakula na kweza kuishi.Nne bado tuna protectionism policy kubwa sana.Sheria zimebana sana hii inapelekea ugumu katika kuwekeza na kuendeleza biashara! FLEXIBILITY n muhimu sana katika kukuza uchumi na naamin hwatarudia makosa kama ya korosho na mazao ya chakula!! .. I stand to be lectured!!
Kama tungekuwa na takwimu za uhakika, hili unalosema hapa lingekuwa rahisi sana kulithibitisha.2019 wakulima wamekua discouraged kwa kiasi kikubwa kwahiyo wamelima kidogo ( ni chanzo kikubwa cha supply kuwa ndogo nchini)
Hapa tunazungumzia kukandamizwa au uchumi!!He who remains neutral when there are oppressed and oppresors, he is an oppressor.
Ni kweli mkuu hayo ni maoni binafsi sina takwimu.Kama tungekuwa na takwimu za uhakika, hili unalosema hapa lingekuwa rahisi sana kulithibitisha.
Sasa sijui, kama kweli hata wizara husika wasiweze kujua jambo rahisi kama hili? Nawe hujasema ulipopata ushahidi wa jambo hili. Unazo takwimu zinazoonyesha wakulima kupunguza kilimo, au ni hisia zako tu ndizo zinazokutuma?
Je, hakuna sababu nyingine yoyote, kama utofauti wa hali ya hewa, n.k.?
Haya ni maoni tu, sio kwamba ninapinga ulichoandika hapo juu. Huenda hivyo ndivyo, lakini ushahidi bado haupo!
Ninaheshimu sana michango kama hii ambayo ni dhahiri mchangiaji anao uelewa wa anachochangia. Tunaweza tukachambua haya uliyoweka hapa, kwa mfano hiyo namba tatu, na tusikubaliane moja kwa moja kwa kila kitu, lakini 'approach' uliyoichukua ni ya kuheshimiwa.Ni kweli mkuu hayo ni maoni binafsi sina takwimu.
Ukisoma hiyo speech vizuri waziri amesema sababu ya ukuaji wa pato la Taifa kwa mwaka 2019 umechangiwa na baadhi ya mambo ntaandika machache.
1.uwekezezaji katika miundombinu( barabara , reli na airports)
2.kuimarika kwa huduma za usafirishaji
3.kuongezeka kwa shughuli za kilimo kuchangiwa na hali ya hewa nzuri.
.....
MFUMUKO WA BEI ZA VYAKULA
Waziri anasema sababu ni hizi
1. Changamoto za usafirishaji ( wakati mwanzon amesema hii sekta imemimarika na imechangia kukua kwa pato la Taifa)
2.changamoto ya miundombinu ya masoko
3. Uhaba wa chakula nchi jirani..( tuchukulie case ya mahindi ambapo price imepanda maradufu , na huku wakulima wamepigwa ban kuexport hili zao!!)
Sina Takwimu lakini hiyo ni simple relation ninayoweza nikaifanya wakulima wamekua discouraged kwa sababu ya hasara za mwaka 2018 na 17
Sent using Jamii Forums mobile app