Baada ya kubwagwa na mgombea wa CHADEMA, ndugu Philip Marmo(mgombe ubunge: CCM- Mbulu) yupo Haydom akipata matibabu. Hata hivyo inasemakna kuwa hajalazwa Hospitalini bali yupo katika nyumba ya wageni akihudumiwa na Madaktari.
Aliamini atakuwa mbunge milele.....?Baada ya kubwagwa na mgombea wa CHADEMA, ndugu Philip Marmo(mgombe ubunge: CCM- Mbulu) yupo Haydom akipata matibabu. Hata hivyo inasemakna kuwa hajalazwa Hospitalini bali yupo katika nyumba ya wageni akihudumiwa na Madaktari.
Tunataka adead kabisa sio kuwa hospital tu haitoshi:yield:
mgumu wewe!tunataka adead kabisa sio kuwa hospital tu haitoshi:yield:
good boyAlipokuwa waziri wa habari na utangazaji 1995 october, siku chache kabla ya kupiga kura alikuja shuleni kwetu baada ya kusikia wanafunzi hawampendi, nilipata taarifa kuwa naitwa na mkuu wa shule nyumbani kwake, nilipofika tu pale sebuleni akaanza kijana je unafahamu kwamba ni kosa kwa mwanafunzi kupiga kampeni nikajib sijui,akanza oh rwanda na burundi wanapigana kwa sababu ya vyama vingi nikamjibu tu wa heshima kuwa ni kwa sababu ya Ukabila akaniona mjeuri. wanafunzi 640 waliopiga kura marmo alipata 29 tulihuzunika sana lakini tukaja kujua kura 29 ni za walimu na watumishi. Sisi tulikuwatunafanya kampeni ya Mbunge aliyesimamishwa na NCCR enzi hizo. Jambo moja sintasahau katika uongozi wake matokeo yalipotoka tu kuwa amepita, aliyekuwa mwl mkuu shule ya jirani alihamishwa Mtwara kabla hata hajaapishwa kwa sababu alikuwa anampinga, alikuwa jeuri huyu mtu juzi niliposikia mbulu marmo ameaanguka nilifurahi saaaaaaaaaaaaaaaaaaana.
alipokuwa waziri wa habari na utangazaji 1995 october, siku chache kabla ya kupiga kura alikuja shuleni kwetu baada ya kusikia wanafunzi hawampendi, nilipata taarifa kuwa naitwa na mkuu wa shule nyumbani kwake, nilipofika tu pale sebuleni akaanza kijana je unafahamu kwamba ni kosa kwa mwanafunzi kupiga kampeni nikajib sijui,akanza oh rwanda na burundi wanapigana kwa sababu ya vyama vingi nikamjibu tu wa heshima kuwa ni kwa sababu ya ukabila akaniona mjeuri. Wanafunzi 640 waliopiga kura marmo alipata 29 tulihuzunika sana lakini tukaja kujua kura 29 ni za walimu na watumishi. Sisi tulikuwatunafanya kampeni ya mbunge aliyesimamishwa na nccr enzi hizo. Jambo moja sintasahau katika uongozi wake matokeo yalipotoka tu kuwa amepita, aliyekuwa mwl mkuu shule ya jirani alihamishwa mtwara kabla hata hajaapishwa kwa sababu alikuwa anampinga, alikuwa jeuri huyu mtu juzi niliposikia mbulu marmo ameaanguka nilifurahi saaaaaaaaaaaaaaaaaaana.