nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
mimi siwaelewi hawa watu , huyu Marmo na Mama Mongela.
Tunaposema siasa ni kazi ya Utumishi tunamaana Gani, unaotaka uwatumikie hawakutaki, wewe unaugua, aaah, wanataka nini hawa.
Kama kweli siasa ni kazi ya kuhudumia Umma, fadhaa yote, mistuko yote ya nini ?
mtakufa mshindwe kufaidi maunda ya Utawala wa wabunge wa CHADEMA bUREE
Tunaposema siasa ni kazi ya Utumishi tunamaana Gani, unaotaka uwatumikie hawakutaki, wewe unaugua, aaah, wanataka nini hawa.
Kama kweli siasa ni kazi ya kuhudumia Umma, fadhaa yote, mistuko yote ya nini ?
mtakufa mshindwe kufaidi maunda ya Utawala wa wabunge wa CHADEMA bUREE