Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Leo hii katika Ikulu ndogo ya Chamwino mjini Dodoma,Raisi Kikwete amemuapisha lut.Shimbo na mteule mwingine kuwa mabalozi ambapo Shimbo ameteuliwa kuwa balozi wa Tanzania nchini China kuchukua nafasi ya Philip Marmo ansestaafu.
Kama mnavyofahamu,Philip Marmo aliteuliwa kuwa balozi wa Tanzania nchini China baada ya kushindwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 ambapo aligombea ubunge na kama sikosei ilikuwa katika jimbo la Mbulu.Hapa hamna cha ajabu hapa kwani huu ndio utawala wa Kikwete na CCM kwa ujumla ulivyo.Ni utamaduni wao wa kupeana ulaji utazani hakuna watu wengine.Kwakweli inakera na kuudhi sana.
Sasa swali ni kuwa baada ya kustaafu ubalozi mnampa cheo gani(kazi? kingine?
Ukweli ni kuwa katika nchi hii kuna watu wana hati miliki za ajira!
Kama mnavyofahamu,Philip Marmo aliteuliwa kuwa balozi wa Tanzania nchini China baada ya kushindwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 ambapo aligombea ubunge na kama sikosei ilikuwa katika jimbo la Mbulu.Hapa hamna cha ajabu hapa kwani huu ndio utawala wa Kikwete na CCM kwa ujumla ulivyo.Ni utamaduni wao wa kupeana ulaji utazani hakuna watu wengine.Kwakweli inakera na kuudhi sana.
Sasa swali ni kuwa baada ya kustaafu ubalozi mnampa cheo gani(kazi? kingine?
Ukweli ni kuwa katika nchi hii kuna watu wana hati miliki za ajira!