Mtali
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 3,445
- 2,486
"Barking Dogs Seldom Bites"Nimemsikia mwenyekiti wa ccm bara akinadi sera hii kwangu mimi huu ndio mwisho wake utamtoa nani na utamuacha nani kwa hili labda wenzangu nambieni kaulio hii ni ya kweli au yaleyale ya kuvua gamba.
Msitegemee mapya hapo.