Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Mmoja kati ya Watoto wanne wa kitanzania wenye ualbino akiwa anaujaribu mkono wa bandia aliopewa baada ya kukatwa mikono na watu wasiojulikana kwa imani za kishirikina.
Hospitali ya Shriners iliyoko Philadelphia Marekani, imewapatia mikono hiyo ya bandia watoto hao ili iweze kuwasadia kufanya shughuli zao za kila siku.
Kijana Emmanuel Rutema(15) anayeonekana kwenye Video amesema kuwa watu hao waliokata mkono wake walijaribu pia kuutoa ulimi na meno yake bila ya mafanikio.
Hospitali ya Shriners iliyoko Philadelphia Marekani, imewapatia mikono hiyo ya bandia watoto hao ili iweze kuwasadia kufanya shughuli zao za kila siku.
Kijana Emmanuel Rutema(15) anayeonekana kwenye Video amesema kuwa watu hao waliokata mkono wake walijaribu pia kuutoa ulimi na meno yake bila ya mafanikio.