Skylar
JF-Expert Member
- Nov 10, 2021
- 2,206
- 5,198
Hii Nchi ina maajabu mengi sanaTofautisha juho la Jana wakati anabatizwa udakitari na joho wakati wako kwenye vikao vya madiwani Nzera.
View attachment 2034724
Hii Nchi ina maajabu mengi sanaTofautisha juho la Jana wakati anabatizwa udakitari na joho wakati wako kwenye vikao vya madiwani Nzera.
View attachment 2034724
Hii udsm sio jalalani au?Nilipokuwa sekondari Kuna mwandishi mmoja wa vitabu mwenye jina la kihaya nimemsahau alileta TAFRANI kwa baadhi ya VIONGOZI kwa kuwataja kuwa si madaktari wa kweli.......
Kuhusu hizi "HONORIS CAUSA" aliyopatiwa mh.Musukuma anaweza kupewa yeyote mwenye MCHANGO katika jamii ...hoja tu ni kutoka CHUO KIKUU GANI CHENYE ITHIBATI ZILIZOSIMAMA .....
Hata Nassib Abdul "alias" Diamond Platinumz naye ana SHAHADA ya heshima kutoka UDSM ........
Yani haya mashada katoka nayo kijijini kwake kuwahi mchongo,kofia utafikiria beseni,ccm kumejaa wajinga tupuWachunguzi wanadai kwamba eti Chuo hicho kiko India na kwamba kina matawi yake Uingereza na Marekani bali uchunguzi unaonyesha kwamba hakijawahi kusajiliwa Uingereza wala Marekani na wala hakipo huko.
Kingine ambacho wachunguzi wamekifuatilia ni vigezo ambavyo vimezingatiwa ili kumpa heshima hiyo Musukuma, yadaiwa ni mchongo mwanzo mwisho.
Baba Askofu Bagonza amenukuliwa kwamba aliombwa dola 500 na chuo hicho ili aingizwe kwenye mchakato wa watakaopewa PhD hiyo na hicho chuo cha Musukuma ila yeye akagoma na akawaambia wahusika kwamba anazo ofa kadhaa kutoka kwenye vyuo vikubwa duniani vinavyomuomba akubali kupewa PhD za heshima, tena kwa vyuo vyenyewe kumlipa hadi USD Elfu 10, siyo kwa yeye kuvilipa vyuo kama chuo cha Musukuma kinavyodai.
Swali ni hili, ni nani anafaidika na vyuo vya uongo kama hiki cha Musukuma na ili iweje?
Amefanya kipi? Hivi unajua kwanini Rashford alitunukiwa hiyo honoris causa!?.. Acha masihara mzee..Mkuu kwa maoni yangu Msukuma ana deserve kutunukiwa udaktari wa heshima kama akina Rashford
Shule ya msingi kasoma kwa miaka 8Aisee wanasiasa mnakatisha watu tamaa ya kusoma bhana, watu wanahangaika kusoma kwa taabu wanakesha usiku, Kuna wengine Familia zinauza Mali za ukoo ili kijana asome, wengine wa nashindwa kumaliza kwa kukosa Ada na wengine wanashindwa kwa kufeli mitihani(discontinuation).
Masikini ya Mungu na wengine watoto wa kike mpaka wanauza utu wao kwa waalimu wao kwa kutoa rushwa ya ngono, halafu huku nyie yaani mnapeanapeana tu, eti mara Degree ya heshima, mara PhD ya heshima, acheni mzaha na elimu jamani, Elimu ni IBADA.
Eti PHD, hivi wewe Kasheku unajua PHD au unaisikia tu!!!
Udaktari wa Heshima katika Siasa na uongozi, kwa hiyo Sasa hivi tumuite Dr. MSUKUMA? AFADHARI ya Dr. MAJI MAREFU Udaktari wake aliojitangaza nao ulikuwa unajulikana anafanya nini!
Wapi umewahi kusikia standard Seven anapata PHD?
Na mbona hizo shahada za heshima kila siku wanapewa wanasiasa tu???View attachment 2034376View attachment 2034377
Mchango katika jamii kheri Zahir wa online TV anaitendea haki dunia ya wahitaji.
Maji Marefu alikuwa akijiita Prof. Maji Marefu na siyo Dr.Udaktari wa Heshima katika Siasa na uongozi, kwa hiyo Sasa hivi tumuite Dr. MSUKUMA? AFADHARI ya Dr. MAJI MAREFU Udaktari wake aliojitangaza nao ulikuwa unajulikana anafanya nini!
E banaaae hawa hapaaaaa,wanajadiliana jinsi ya kumpa PhD mzee kasheku Kama Kuna mtu anataka PhD jamaa wenyewe ndio hawaaaaa
Hahaha kweli kabisa. Nape, Angela kizigha walisoma pale mzumbe Dar aisee pale ukimpa dr. Barongo sijui prof. Kwa sasa? Ukimpa mpunga unaitwa kwenda kusaini vitabu vyeusiUkiona mwanasiasa kapata PhD au master jua ni ya mchongo.
Mimi namthamini kila mtu kwa jinsi Mungu alivyomjalia na si kwa sababu ya pesa maana ni pesa zake na si zangu na sina mgao kwa pesa zake. Katika jamii tunaishi kwa kutegemeana - mwenye pesa anamtegemea mtu mwingine asiye na pesa kwa kitu au jambo alilo na shida nalo. Mfano, mwenye pesa akiumwa jino ataenda kwa dentist, ambaye hata hajajenga nyumba, hana gari, lakini anaweza kumtibu. Watoto wa mwenye pesa atawapeleka shule au kwa baadhi ya wenye pesa atawanyima elimu ya shule na kuwapa mali. Lakini kuwa na mali hakuondoi umuhimu wa elimu kwa mwanadamu. Heri uwe na pesa na uwe umesoma kuliko kuwa na pesa na uwe hujasoma au huna elimu ya darasani.Karibu yote uliyosema ni kweli....
Nilisema hivyo kwa sababu jamii yetu inathamini wenye pesa. Hata uwe profesa uliyeandika mavitabu 100 na unajulikana kimataifa kama huna pesa we ni takataka tu mbele ya jamii. Ndiyo maana akina Musukuma na Kishimba kila siku kutukana maprofesa kwa vile wana pesa japo hawajasoma!
Sijui kama Musukuma anatumia pesa zake kuwakanyaga wengine ila nijuavyo mimi ni mtu mwema na anayejitolea sana jimboni mwake...
Haya, kuna ile PhD ya Magufuli nayo ilizua mjadala, ambao ulizimwa baada ya mpingaji mkuu wa PhD hiyo kupotezwa jadi leo. Ben Saanane. Ya Jaffo sijaifuatilia binafsi, lakini tunaweza kuorodhesha hapa PhD zenye utata:Kwani ina tofauti gani na ya Jaffo?
Na wewe unauliza?
Umewahi kumsikia Profesa J katunukiwa PhD? Au uprofesa? Yeye kaamua tu kujiita kutokana na usanii wake. Hakuwahi kuvaa magwanda ya graduu ya chuo kikuu kama huyo msukuma.Prof Jay mjumbe wa kamati kuu ya Chadema
Ndiye Prof pekee pale Ufipa kwa sasa!
Wachunguzi wanadai kwamba eti Chuo hicho kiko India na kwamba kina matawi yake Uingereza na Marekani bali uchunguzi unaonyesha kwamba hakijawahi kusajiliwa Uingereza wala Marekani na wala hakipo huko.
Kingine ambacho wachunguzi wamekifuatilia ni vigezo ambavyo vimezingatiwa ili kumpa heshima hiyo Musukuma, yadaiwa ni mchongo mwanzo mwisho.
Baba Askofu Bagonza amenukuliwa kwamba aliombwa dola 500 na chuo hicho ili aingizwe kwenye mchakato wa watakaopewa PhD hiyo na hicho chuo cha Musukuma ila yeye akagoma na akawaambia wahusika kwamba anazo ofa kadhaa kutoka kwenye vyuo vikubwa duniani vinavyomuomba akubali kupewa PhD za heshima, tena kwa vyuo vyenyewe kumlipa hadi USD Elfu 10, siyo kwa yeye kuvilipa vyuo kama chuo cha Musukuma kinavyodai.
Swali ni hili, ni nani anafaidika na vyuo vya uongo kama hiki cha Musukuma na ili iweje?
Eti anaitwa dr Msukuma KWa Sasa, ila sawa mbona tulishakua na prof maji marefu,Wachunguzi wanadai kwamba eti Chuo hicho kiko India na kwamba kina matawi yake Uingereza na Marekani bali uchunguzi unaonyesha kwamba hakijawahi kusajiliwa Uingereza wala Marekani na wala hakipo huko.
Kingine ambacho wachunguzi wamekifuatilia ni vigezo ambavyo vimezingatiwa ili kumpa heshima hiyo Musukuma, yadaiwa ni mchongo mwanzo mwisho.
Baba Askofu Bagonza amenukuliwa kwamba aliombwa dola 500 na chuo hicho ili aingizwe kwenye mchakato wa watakaopewa PhD hiyo na hicho chuo cha Musukuma ila yeye akagoma na akawaambia wahusika kwamba anazo ofa kadhaa kutoka kwenye vyuo vikubwa duniani vinavyomuomba akubali kupewa PhD za heshima, tena kwa vyuo vyenyewe kumlipa hadi USD Elfu 10, siyo kwa yeye kuvilipa vyuo kama chuo cha Musukuma kinavyodai.
Swali ni hili, ni nani anafaidika na vyuo vya uongo kama hiki cha Musukuma na ili iweje?
Kofia ya mama ntilie!! Kapiga dola 500mbna km joho la Meya wa mji/jiji mweeeh
Kofia ya mama ntilie!! Kapiga dola 500