Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,903
- 32,312
- Thread starter
- #21
Jamani,
Msipoteze muda.
Hapa MISSION kubwa ni kuvuruga mjadala wa Posho ZA wABUNGE na Mgomo wa Madaktari!
Wengine hawa ni makuwadi wa Rwakatare, wamekuja kupotezea ile thread inayomcheza unyago!
So dont loose direction brodas and Sistos, pigeni pale panapouma!
Wewe ni nani unataka kupangia watu mada za kuchangia kama wewe upendi nenda jukwaa la siasa kuna thread nyingi.