Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,932
- 32,341
Wanabodi.
Ili kupata PhD (Doctor of Philosophy) lazima huwe na BA (Bachelor of Arts) na MA (Master of Arts).
Nimepitia CV ya Katibu Mkuu wa Chadema Wilbroad Slaa, nimeona kapata PhD yake mwaka 1977 St. Urban University Rome Italy.
Kwenye CV yake hukuna sehemu yoyote kuwa ana BA ama MA.
Kuna njia nyingine ya kupata PhD bila kuwa na MA na BA?
Ili kupata PhD (Doctor of Philosophy) lazima huwe na BA (Bachelor of Arts) na MA (Master of Arts).
Nimepitia CV ya Katibu Mkuu wa Chadema Wilbroad Slaa, nimeona kapata PhD yake mwaka 1977 St. Urban University Rome Italy.
Kwenye CV yake hukuna sehemu yoyote kuwa ana BA ama MA.
Kuna njia nyingine ya kupata PhD bila kuwa na MA na BA?