Kabulala
JF-Expert Member
- Oct 13, 2019
- 695
- 935
Je ni kweli, lazima usote darasani miaka 2 - 5 kutafuta PhD, au inategemea na program ya yule anayekufunza?
Natambua full time students uchukua maximum 2 years na part - timers ni 5 years max.
Je, muda wa kukaa darasani ndio unadetermine uhalali wa PhD yako au ni programs na brilliance ya both mwalimu na mwanafunzi?
Na je, sio kweli kwamba soko la ajira ndio linasema institutions zipi zinawapika wahitimu vyema kutokana na programs zao na umahiri wa wahitimu?
Lastly who cares kama individual anapata degree kwa miezi sita na kuiweka kabatini kwake?
Nadhani wale wanaotegemea ajira za vyeti mtakua na insights kubwa sana kwenye hili.
Karibuni.
Natambua full time students uchukua maximum 2 years na part - timers ni 5 years max.
Je, muda wa kukaa darasani ndio unadetermine uhalali wa PhD yako au ni programs na brilliance ya both mwalimu na mwanafunzi?
Na je, sio kweli kwamba soko la ajira ndio linasema institutions zipi zinawapika wahitimu vyema kutokana na programs zao na umahiri wa wahitimu?
Lastly who cares kama individual anapata degree kwa miezi sita na kuiweka kabatini kwake?
Nadhani wale wanaotegemea ajira za vyeti mtakua na insights kubwa sana kwenye hili.
Karibuni.