believer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2012
- 633
- 213
Hizi ni fomu za polisi zinazohusu kutoa taarifa polisi kwanza inapotokea ajali,ili ukatibiwe au kupokelewa hospitali kwa matibabu.Wote tunatambua kua ajali ni jambo la dharura na hata jinsi ya kulishughulikia linahitaji uharaka na umakini,ningeshauri hizi fomu ziwekwe mahospitalini na afisa wa polisi awepo hospitalini kusaidia yale ambayo yanamlazimu mtu aliyepata ajali kwenda polisi kuchukua fomu ya PF3 ili apokelewe hospitalini,jeshi la polisi wekeni maafisa wenu hata mmoja mmoja kwa shift kila hospitali za wilaya tunusuru majeruhi wetu kama ambavyo mnafanya katika mashule ya msingi.
cc kakajambazi
cc kakajambazi