MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,757
- 48,406
Baada ya kampuni ya magari ya Ujerumani, Volkswagen kutangaza kuanzisha kiwanda cha magari Kenya, nayo kampuni ya Ufaransa ya Peugeot wameamua kutobaki nyuma kwenye huu mwendo kasi wa kuifanya Kenya kuwa nchi ya viwanda, maana ndio kitovu cha Afrika.
Makampuni ya kimataifa yanapigana vikumbo Kenya, kila mmoja anataka apate fursa ya kuanzisha kiwanda. Naomba Wakenya tuendelee kuchakarika na kuzitafuna hizi fursa kama wafanyavyo mamba pale Maasai Mara pindi nyumbu wanapojileta......unyang'au full kwenda mbele kwa mbele.
==========================
IN SUMMARY
French automaker Peugeot is set to start local assembly of its brands from next year, becoming the latest multinational to produce vehicles in Kenya.
Makampuni ya kimataifa yanapigana vikumbo Kenya, kila mmoja anataka apate fursa ya kuanzisha kiwanda. Naomba Wakenya tuendelee kuchakarika na kuzitafuna hizi fursa kama wafanyavyo mamba pale Maasai Mara pindi nyumbu wanapojileta......unyang'au full kwenda mbele kwa mbele.
==========================
IN SUMMARY
- President Kenyatta revealed the Paris-based conglomerate’s plans in his Jamhuri Day speech.
- The announcement comes ahead of German automaker Volkswagen’s launch of the first passenger car to be assembled locally, the Polo Vivo, next Wednesday.
French automaker Peugeot is set to start local assembly of its brands from next year, becoming the latest multinational to produce vehicles in Kenya.