OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 419
- 669
Ukiangalia Mkeka uliotolewa na EWURA umeonesha mafuta yanayoshuka katika bandari ya Tanga yakiwa na bei ya Tsh. 3,137 kabla ya ruzuku ambapo bei hiyo ni ndogo kwa 1% kulinganisha na bei ya mafuta kwa mwezi Mei ambayo ilikuwa 3,161.
Hata hivyo bei ya mafuta yanayopokelewa bandari ya Dar yalipanda kwa 5% kabla ya ruzuku na yale ya mtwara yalipanda kwa Tsh. 3% kabla ya ruzuku. Hii inaonesha mafuta yanayopokelewa Tanga ni bei rahisi zaidi.
Wito wangu ni serikali kuangalia kwa nini Tanga kunakuwa na bei rahisi ikibidi kuhamishia bandari kuu kuwa Tanga, au kuchukulia mafuta sehemu ambayo watu wa Tanga wanayanunua.
Signed
OLS
Hata hivyo bei ya mafuta yanayopokelewa bandari ya Dar yalipanda kwa 5% kabla ya ruzuku na yale ya mtwara yalipanda kwa Tsh. 3% kabla ya ruzuku. Hii inaonesha mafuta yanayopokelewa Tanga ni bei rahisi zaidi.
Wito wangu ni serikali kuangalia kwa nini Tanga kunakuwa na bei rahisi ikibidi kuhamishia bandari kuu kuwa Tanga, au kuchukulia mafuta sehemu ambayo watu wa Tanga wanayanunua.
Signed
OLS