Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,582
- 10,715
Muonee huruma dada yakoNikiwa sebleni kwa shemeji yangu na king'amuzi ameshakilipia huku na subiri dada apike ugali na nyama nile... Hii Nchi inazidi kua ngumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muonee huruma dada yakoNikiwa sebleni kwa shemeji yangu na king'amuzi ameshakilipia huku na subiri dada apike ugali na nyama nile... Hii Nchi inazidi kua ngumu
Huna Mita ya Maji?Vifaa vya ujenzi ndo usiseme bei inapanda kila siku,nondo ya mm12 saizi 27k,toka 24k ya wiki jana,Yaani twiifwaa.
Bongo bahati mbaya,Pamoja na maji kutoka kwa kusua sua, bill ya mwezi uliopita ni kubwa kuliko maji yakiwepo 24/7
Yes December 2028Tuliambiwa itashuka December pengine huku kupanda ndio maandalizi ya kushuka
Nimepata kitu hapo mkuu, thanks,Sisi tunawaza mechi ya Tarehe 11.Mayele na Morrison.Petrol ikifika elfu tano Lita sio mbaya.
Hili taifa nafikiri lilimshinda hata baba wa taifaHahahahah kwa akili walionayo awamu ya 6 hawashindwi! Tarura wamejiondoa kwenye mfumo electronic wamerudisha ile ya kukata ticket kwa cash wanajizolea hela tu
Wanaletaje bill wakati walishaiondoa service charge?Na week ya3 huku kwetu maji hayatoki na hayana habari na bill wanaleta kama kawaida. Hii nchi ni ya hovyo sana
Umefunga mjadala katika mada hii. Upepo wa siasa wa nchi hii unauelewa vizuri sana.Yeye anaendelea kumchafua marehemu ili aonekane yu bora zaidi ya marehemu. Ubora ni vitendo siyo maneno jukwaani.
Vyama vya upinzani unganeni 2025 goli liko wazi. Acheni uroho wa madaraka mtafuteni mwana ccm anaekubalika mteueni kugombea uraisi ushindi ni zaidi ya 80%
JPM pamoja na mapungufu yake aliwateka sana wapiga kura. Kubali kataa wapiga kura ni watu wa chini na hata kwa idadi ndiyo wengi. Hivyo upinzani wakiweza kumteka mtu makini toka JPM group kwa haya matatizo ya machinga, wacbaji wadogo wa madini , kupanda holela kwa bidhaa mbalimbali, kusuasua kwa ujenzi wa reli na bwawa la umeme nk CCM anapigwa asubuhi.
Tatizo tamaa ya wapinzani wetu. Lakini pia wamekubali kuwekewa mamluki kibao katika vyama vyao. Hao akina Ester Bulaya ni mamluki achaneni nao.
Walidai November 1 system itarudi sahizi naona wahuni wanajipigia hela tu! Baba wa taifa aliona uchawi tuHili taifa nafikiri lilimshinda hata baba wa taifa
Usifananishe Awamu ya 5 na huu upuuzi wa Team Hangaya!Hakika MAMBO yamekuwa MAMBO
BEI ya MAFUTA imevunja REKODI kwa KUPANDA na WATAWALA wapo Kimya Masikini Wanyonge HAWAJUI la KUFANYA.Nilitarajia huu UPANDAJI wa BIDHAA kama MAFUTA,GESI SUKARI,MAFUTA ya KULA n.k
Mh.RAIS SAMIA Angetoka HADHARANI Akazungumzia SERIKALI yake IMEJIPANGA vipi KUZIPUNGUZA hizo GHARAMA kwa WANANCHI pia KUFAFANUA sababu za UPANDAJI huo.
WANANCHI bado Tunaugulia TOZO,Mgao wa UMEME na MAJI
Hakika MAMBO yamekuwa MAMBO kwa SERIKALI ya Awamu ya 5 ya RAIS wa 6
SISIYEMU Kumebanana MAKADA wapo KIMYAView attachment 2030454
Nimeonee huruma ya niniMuonee huruma dada yako
Ajabu sana,sijui hesabu wamezidisha mara mbili?Pamoja na maji kutoka kwa kusua sua, bill ya mwezi uliopita ni kubwa kuliko maji yakiwepo 24/7
Sure..huwezi kushuka kama hukupanda. Imepanda sh 71. Itashuka sh 20..si haba😂😂😂😂Tuliambiwa itashuka December pengine huku kupanda ndio maandalizi ya kushuka
Ameshaelewa Tuhamia Dodoma Muda Wote Top Leaders Wapo Dar Es SalaamMtaelewa tu
😯Ameshaelewa Tuhamia Dodoma Muda Wote Top Leaders Wapo Dar Es Salaam
Kule WameaCha Wananchi Wanapauka Na Maji Ya Visima
Jumba bovu.Kutokana na hayo matatizo yaliyotajwa hapo juu. Je, Mama Samia anatupeleka wapi na wasaidizi wake? Tutaishia wapi? Kumbekeni Omicron nayo yatunyemelea kama bado haijafika! Kweli bongo bahati mbaya.