Petroli bei juu. Mafuta ya kupikia bei juu. Mazagazaga bei juu. Maji ya kutumia hakuna. Umeme kukatika hata mara 5 au 6 kwa siku!

Kutokana na hayo matatizo yaliyotajwa hapo juu. Je Mama Samia anatupeleka wapi na wasaidizi wake?! Tutaishia wapi?! Kumbekeni Omicron nayo yatunyemelea kama bado haijafika! Kweli bongo bahati mbaya….

4C0BB3AD-921F-48E0-827B-196B9AEA6328.jpeg
 
Kutokana na hayo matatizo yaliyotajwa hapo juu. Je Mama Samia anatupeleka wapi na wasaidizi wake?! Tutaishia wapi?! Kumbekeni Omicron nayo yatunyemelea kama bado haijafika! Kweli bongo bahati mbaya….
Yeye anaendelea kumchafua marehemu ili aonekane yu bora zaidi ya marehemu. Ubora ni vitendo siyo maneno jukwaani.

Vyama vya upinzani unganeni 2025 goli liko wazi. Acheni uroho wa madaraka mtafuteni mwana ccm anaekubalika mteueni kugombea uraisi ushindi ni zaidi ya 80%

JPM pamoja na mapungufu yake aliwateka sana wapiga kura. Kubali kataa wapiga kura ni watu wa chini na hata kwa idadi ndiyo wengi. Hivyo upinzani wakiweza kumteka mtu makini toka JPM group kwa haya matatizo ya machinga, wacbaji wadogo wa madini , kupanda holela kwa bidhaa mbalimbali, kusuasua kwa ujenzi wa reli na bwawa la umeme nk CCM anapigwa asubuhi.

Tatizo tamaa ya wapinzani wetu. Lakini pia wamekubali kuwekewa mamluki kibao katika vyama vyao. Hao akina Ester Bulaya ni mamluki achaneni nao.
 
Jiwe aliibana sana hii nchi... Bi Mkubwa anaifungua sasa... Tulieni mlishwe vinono si mnajua siku zote mama huwa ana huruma
Hahahaaa

Mama ana huruma kwa wanawe tu kwa watoto wa jilani ni kilio. Ni kweli kwa watoto wake ni kicheko. Wengine wamesababisha umeme umekuwa wa mgao lakini wala hawaguswi. Wengine anataka kuwapa Bandari iliyo na mikataba iliyojaa utata.
 
Gas 15kg 58,000 toka 45,000 maniner. Hakika mama anaupiga wa kiwango cha FIFA
 
Wengine tuna uhakika Mama haambiwi ukweli. Kiukweli tukubali mama hajuwi bei ya sukari petroli nyama gesi mafuta yawe ya kupikia au petroli. Wasaidizi kucha kumpangia safari na cha kusema hadharani. Hawataki asafiri kwa barabara wala hana dawati la kusikiliza shida za raia. Akitoka tu safari wanambambika safari tena na tena na tena! Sielewi kwanini naye hashtuki! Labda naye limbukeni wa kusafiri?! Wanampelekesha mama yetu mpaka hajuwi yuko pale asafiri au mtalii au boya tu. Mchwa wanatafuna nchi Mama zinduka…
 
Wengine tuna uhakika Mama haambiwi ukweli. Kiukweli tukubali mama hajuwi bei ya sukari petroli nyama gesi mafuta yawe ya kupikia au petroli. Wasaidizi kucha kumpangia safari na cha kusema hadharani. Hawataki asafiri kwa barabara wala hana dawati la kusikiliza shida za raia. Akitoka tu safari wanambambika safari tena na tena na tena! Sielewi kwanini naye hashtuki! Labda naye limbukeni wa kusafiri?! Wanampelekesha mama yetu mpaka hajuwi yuko pale asafiri au mtalii au boya tu. Mchwa wanatafuna nchi Mama zinduka…
Kiongozi lazima awe mfuatiliaji, otherwise mambo yataharibika na hujui. Alisema hafatilii coz aliowateua ni watu wazima wanaojielewa, hawezi kufoka. Bahati mbaya sana hajui nature ya mtu mweusi, hasa mtanzania.
 
Yes...aanzishe Tozo ya COVID-19 kupunguza makali ya COVID-19 kwa serikali.
Kwani huu ugonjwa kwa Serikali ndo inakuaje maana kama chanjo tunapewa na wahisani bado hawajanunua kwa hela zetu nchini watu wanafanya kazi hakuna lockdown shida n nn
 
Ila hapo kwenye umeme kwa kweli nchi inakua imepoa karibia 12 hours hakuna uzalishaji kuanzia kwa mtu binafsi,viwanda vidogo vidogo,viwanda vikubwa .
 
Ila hapo kwenye umeme kwa kweli nchi inakua imepoa karibia 12 hours hakuna uzalishaji kuanzia kwa mtu binafsi,viwanda vidogo vidogo,viwanda vikubwa .
Uko wapi mkuu ambapo kuna mgao hadi leo? Mgao tumeupangua umeme upo kama kawa 24hrs.
 
Na week ya3 huku kwetu maji hayatoki na hayana habari na bill wanaleta kama kawaida. Hii nchi ni ya hovyo sana
Tanzania ni nchi nzuri sana ila watu wake ni wa hovyo sana, kutwa kulalamika tu hamjui namna ya kujisaidia kazi ya kulalamukia viongozi, kwani nani kawatuma kuongozwa!!
Huyo kiongozi unazijua tabia zake?
Wengi ni Wauzaji wa dawa za kulevya, majambazi, serial killers, wapenda rushwa, Anasa, na ni malaya wa kutupwa ndo viongozi wenu hao.
 
Kutokana na hayo matatizo yaliyotajwa hapo juu. Je, Mama Samia anatupeleka wapi na wasaidizi wake? Tutaishia wapi? Kumbekeni Omicron nayo yatunyemelea kama bado haijafika! Kweli bongo bahati mbaya.
Nikiwa sebleni kwa shemeji yangu na king'amuzi ameshakilipia huku na subiri dada apike ugali na nyama nile... Hii Nchi inazidi kua ngumu
 
Back
Top Bottom