Petrol TZS 1,882 na Diesel TZS 1,987: Wafanyabiashara waigomea Serikali?

Sisi wapanda DalaDala hatuna tatizo - Tshs 500 Tegata mpaka Mbagala! Nyie endeleeni kuhangaika na mitumba ya Vitz and xTrail mpaka mkose School Fees ya Watoto come january 2012!
 
Tanzania tanzania
nakupenda kwa moyo wooote nji yangu
tz jinalako ni
tamu saaana!!!


Im no longer proud of being a tanzanian
mafisadi
umeme
maji
elimu
mafuta
hakuna!
Tutawezaje kusonga
mbele?
 
huyu kilaza nchi imemshinda. Tangu asubui nazunguka kutafuta mafuta mji mzima mpaka sasa sijapata. Bamaga mafuta yapo lakini magari ni mengi sana nimeshindwa kuvumillia.
 
kwa wale waliokaidi na wana mafuta basi GESHI LA MGAMBO liingie kazini, ambao hawakufuata wafutiwe leseni na sehemu zao zipigwe marufuku kwa zao hilo kugemwa hapo, sehemu zao zisijughulishe na biashara yoyote ya mafuta bali makazi ya watu tu.
 
tatizo letu ni kilalamika wakati wa shida ya siku moja, siku zikifika tatu, tunazoea, coz tumeshatengeneza mazoea ya 'kuzoea' matatizo. Mkwerre akisema kesho vituo vya mafuta viuze mafuta, vikafanya hivyo, tunaanza kumsifia, tunasahai kwamba hatukutakiwa kupata shida hata hiyo siku moja.
Then, haya ya kuchoma kituo komoja moto sijui kitu gani yanaishia hapo.
Hatujui how to walk the talk.....mpaka atakapopatikana mtu atakayetufundisha.
 
Sikutegemea mchange yakipumbavu kutoka kwa pumbavu kama hii. Hivi serikali kupambana na wauza mafuta ili sisi raia tupate nafuu inakuwa kero kwenu? badala muungane na serikali na mtoe ushauri wenye maana nyinyi mnapinga? Je mwataka kulipa mafuta bei ya juu? Ama kweli nyinyi ni wapumbavu.

Mbona upumbavu wako unauweka uchi?
 
Nipo kariakoo big bon baada ya kuangaika kwenye folleni muda mrefu, baada ya kufika nimeambiwa nayo yameisha. Aliyekuwa mkombozi BIG Bon naye aungana na wafanyabiashara, naambiwa yapo lakini mkuu katukataza kweli serikali imefika kubaya.Magari mengi yamezima njiani, tunaomba trafiki wasaidie angalau tuyaweke pembeni.
Mkuu tafuta ile speech ya mwl jk,kuhusu serikali corrupt,haikusanyi kodi na wafanya biashara wameitia mfukoni,utapata somo pale.Sioni wakiirudia rudia hii speech,sijui kwa nini.
 
...juu ya wananchi legelege wenye maamuzi legelege na kuchukua hatua legelege...
Kizazi hiki kimelaaniwa..Hakuna la maana linaloweza kufanyika chini ya usimamizi wa madubwana ya kizazi hiki iwe wa kutoka chama tawala wala huko kwingine..kwani si siri ubinafsi ndani ya vyama vyote na kasumba ya uchumia tumbo katika vyama vyote ni hatarishi kwa mustakabali wa nchi...ngoja wote tufe kije kizazi swaafiii kisicho kuwa na makengeza katika mambo ya msingi. Kama wabisha fuatilia yaliyomkuta Kafulila....wangwe...kolimba...james mapalala...hamad rashid just to mention a few!
 
Sikutegemea mchange yakipumbavu kutoka kwa pumbavu kama hii. Hivi serikali kupambana na wauza mafuta ili sisi raia tupate nafuu inakuwa kero kwenu? badala muungane na serikali na mtoe ushauri wenye maana nyinyi mnapinga? Je mwataka kulipa mafuta bei ya juu? Ama kweli nyinyi ni wapumbavu.
IGWEEE!! Well said!!!
 
ulegelege kama huu Cameroon ni lazima apige hodi, kama hakuna ukakamavu wa kukabili majanga kama haya mhhhh karibu camerooon
 
kinachotakiwa ni kusaidia mawazo ili bei iendelee kushuka iendane na uhalisia wa maisha ya mtu wa kawaida.sasa nyie mnaowapongeza wauza mafuta kwa kugoma afta govt kushUsha bei tuwaeleweje?wasaliti wakubwa nyie
 
Hamna mgomo wewe patachimbika wote watafungiwa wathubutu waoneeee

Dawa ni moja piga kiberiti vituo tuone kama watagoma,maana Tanzania tunaishi kama watoto yatima,yule jamaa wa Sengerema anaye simamia hiyo sekta yupo au alijiuzuru?
 
Biashara ya ku import petrol na bidhaa zake irudi kuwa controlled na government, individuals au private companies zenye kuwa na petrol import licences ziwe revoked.

Private companies na individuals wapewe tu umiliki petrol stations tu basi. Lakini nachelea kuwa na wasiwasi wa kwamba hii itakumbana na upinzani mkubwa sana ka sababu ya uswahiba wa hawa jamaa na watawala.
 
Tanzania tanzania
nakupenda kwa moyo wooote nji yangu
tz jinalako ni
tamu saaana!!!


Im no longer proud of being a tanzanian
mafisadi
umeme
maji
elimu
mafuta
hakuna!
Tutawezaje kusonga
mbele?
acha ungese wewe.shule mbili za secondary kila kata,
chuo kikuu kila mkoa,kila mtu ANA DIGRII,KINA MRAMBA,YONA MAHAKAMANI ROD ZA LAMI NCHI NZIMA UNATAKA shule zijengwe hom kwenu usome ww na bibi zako tu?au unataka zile power station pale ubung
o zipelekwe kijijini kwenu na ile mitambo ya maji pale kibaha na ruvu iwe ya anko wako?fanya kazi ww acha kulalamika.uta ded poor
 
Sisi wapanda DalaDala hatuna tatizo - Tshs 500 Tegata mpaka Mbagala! Nyie endeleeni kuhangaika na mitumba ya Vitz and xTrail mpaka mkose School Fees ya Watoto come january 2012!

Hizo daladala zinatumia maji au? Ngoja uanze kutembea kwa hizo nguzo 2 Tegeta-Posta, fikiri kabla ya kubwata!
 
Back
Top Bottom