Nyendeke
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 1,552
- 2,844
Poleen sana na Majukum wadau.., Naomba wazoef mnfahamshe kdogo; mie nna degree yangu kuna coy 1 ya mafuta wameniita baada ya interview 2kaongee kuhusu Maslah so naomba nijue mishahara yao inakuaje na je kama kuna benefit yoyote ambayo hua inapatkana zaid ya salary? Natangulza shukran!