Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,955
- 22,136
Soma habarileo /mwananchi
magari na mitambo kadhaa itumiayo petrol iko hatarini kuharibika pale taarifa za kuingizwa kwa tani zaidi ya 30,000 za mafuta machafu
habari zenye uhakika zinasema zaidi ta tan 30,000 ya mafuta machafu yameingizwa na makampuni kumi yaletayo mafuta na kusambwazwa kwa maghala na vituo mbali mbali
habari zinasema mafuta yaliotakiwa kwenda mkoani yalizuiwa baada ya magari kadhaa dar es salaam kuzimana wahusika wa magari kulalamika kwenye vituo husika
katika kutafuta ukweli gazeti la habari leo liliwasiliana na ewura ambao wamekiri kutaambua tatizo hilo na juhudi za ufwatiliaji zimeanza kuchunguza kilichotokea kwa kuchyukua sampuli za mafuta yaliokokwenye magahala mbalimbali
nikweli tumepata taarifa na tumeifwatilia meli ilioshusha mzigo huo n baada ya hapo tutaandaaripoti kuhusiana na hili waliisema washenzi hawa wa ewura...hadi sasa nazungumza mkurugenzi wa ukaguzi yuko bandarini kanakwamba ajui kilichotokea
nao tbs ambao wanahusika na kiwango cha ubora wametafutwa bila mategemeo na mbaya zaidi mkurugenzi wao alipojua siri hii imefichuka na tbs wamepitisha aa kuhalalaisha uchafuu huu hata simu apokei asioijua
hata tpa wa bandarini awakuwa tayari kuzungumza wkaiongozwa na msemaji wao mziray ambae kila siku amekuwa akishinda redio clouds fm kujtangza ubora wa tpa na mambomengineo leo amekuwamkali kabisa kuongea na watu...
Aidha baadhi ya wamiliki wa makampuni makubwa yalioagiza walipoulizwa walidai wakubwa wao wapo zanzibar kwa holiday wafwate january,,shenzi kabisa hawa...ingawa tatizo hili limegubikwa na usiri mkubwa habarizaidi zinasema hii ni mara yatatu kutokea na watu waliamua kukaa kimya baada ya kupewa shekeli kadhaa na hata hili limebumbuluka baada ya watu kadhaa kutofautiana wakati wa maelewano
je wewe ni muathirika wa hili
mungu akupe rehema zake kwa kweli
magari na mitambo kadhaa itumiayo petrol iko hatarini kuharibika pale taarifa za kuingizwa kwa tani zaidi ya 30,000 za mafuta machafu
habari zenye uhakika zinasema zaidi ta tan 30,000 ya mafuta machafu yameingizwa na makampuni kumi yaletayo mafuta na kusambwazwa kwa maghala na vituo mbali mbali
habari zinasema mafuta yaliotakiwa kwenda mkoani yalizuiwa baada ya magari kadhaa dar es salaam kuzimana wahusika wa magari kulalamika kwenye vituo husika
katika kutafuta ukweli gazeti la habari leo liliwasiliana na ewura ambao wamekiri kutaambua tatizo hilo na juhudi za ufwatiliaji zimeanza kuchunguza kilichotokea kwa kuchyukua sampuli za mafuta yaliokokwenye magahala mbalimbali
nikweli tumepata taarifa na tumeifwatilia meli ilioshusha mzigo huo n baada ya hapo tutaandaaripoti kuhusiana na hili waliisema washenzi hawa wa ewura...hadi sasa nazungumza mkurugenzi wa ukaguzi yuko bandarini kanakwamba ajui kilichotokea
nao tbs ambao wanahusika na kiwango cha ubora wametafutwa bila mategemeo na mbaya zaidi mkurugenzi wao alipojua siri hii imefichuka na tbs wamepitisha aa kuhalalaisha uchafuu huu hata simu apokei asioijua
hata tpa wa bandarini awakuwa tayari kuzungumza wkaiongozwa na msemaji wao mziray ambae kila siku amekuwa akishinda redio clouds fm kujtangza ubora wa tpa na mambomengineo leo amekuwamkali kabisa kuongea na watu...
Aidha baadhi ya wamiliki wa makampuni makubwa yalioagiza walipoulizwa walidai wakubwa wao wapo zanzibar kwa holiday wafwate january,,shenzi kabisa hawa...ingawa tatizo hili limegubikwa na usiri mkubwa habarizaidi zinasema hii ni mara yatatu kutokea na watu waliamua kukaa kimya baada ya kupewa shekeli kadhaa na hata hili limebumbuluka baada ya watu kadhaa kutofautiana wakati wa maelewano
je wewe ni muathirika wa hili
mungu akupe rehema zake kwa kweli