Naomba kuelemishwa, Tukiisha saini hizi Saini mnapeleka wapi? Zitafanyiwa kazi na nani?Wadau naomba kujuzwa nitawezaje kupata hiyo petition ili na Mimi nisaini ??
Hi ni kwasababu bunge linahisi lenyewe Ni Bora kuliko maslahi mapana ya watanzania , mahesabu ya Kodi yetu Ni muhimu Sana kuliko hao
Inaimpact kwa binadamu sio kwa Kunguni
Na hayo maamuz ya bunge yanasaidia nn wakat hayana nguvu kikatiba na wala hayawez kumuondoa Prof ofsnkwahizo hizo partition zitasaidia vipi kubadili maamuzi ambayo tayari yamesha fanywa?