Kutokana na kazi nzuri sana aliyoifanya bungeni kuhusiana na utetezi wa Watanzania juu ya rasilimali zao, kuikalia serikali kooni na kuiwajibisha vyema mbele ya wananchi. kuleta hamasa kubwa na ya kihistoria kwa wananchi ili kufanya mabadiriko nchini katika uchaguzi wa mwaka huu, basi ni dhahiri kwamba juhudi zake hizo zimesaidia sana kuujenga upinzani nchini na hivyo kupanua demokrasia , kwa maana hiyo basi ni dhahiri siasa za nchi hii hazitakuwa kama zilivyokuwa tena.
kutokana na mchango wake huo ninatoa wito vyuo vikuu nchini kutoa udaktari wa heshima kwa mh: Wilbroad Peter Slaa.
Kuna Vyuo Vikuu na Vyoo Vikuu kama vile vinavyochakachua tafiti. Akipewa "Udaktari wa Heshima" na Choo Kikuu haitakuwa na harufu nzuri.