Petition Kuhusu MKIRU na Azory Gwanda Yatumwa UN

Mlalahoi

JF-Expert Member
Aug 31, 2006
2,182
883
Studio_20180709_104228.jpg


Hatimaye leo Julai 9, 2018 nimefanikiwa kutuma petition niliyoifanya kwa siku kadhaa mtandaoni kwa ajili ya kumtaka Kamishna wa Haki za Binadamu huko Umoja wa Mataifa aitishe uchunguzi kuhusu mamia ya watu "waliopotea" huko Mkuranga, Kibiti na Rufiji (MKIRU) sambamba na "kupotea" kwa mwandishi Azory Gwanda. Naambatanisha picha hizi za nyaraka zote nilizotumwa Geneva, Uswisi. Kwa vile nimeomba kujulishwa zitakapopokelewa, basi nitawafahamisha pia pindi zitakapopokelewa, ambapo natarajia itakuwa baadaye wiki hii.

Nawashukuru nyote mlioshiriki kwenye petition ya MKIRU.

Studio_20180709_104200.jpg
Studio_20180709_104228.jpg
Studio_20180709_104323.jpg


Studio_20180709_102711.jpg


Studio_20180709_102750.jpg
Studio_20180709_102826.jpg
Studio_20180709_102849.jpg
Studio_20180709_102919.jpg
Studio_20180709_102944.jpg


Studio_20180709_103041.jpg
Studio_20180709_103116.jpg
Studio_20180709_103246.jpg
Studio_20180709_103320.jpg
Studio_20180709_103405.jpg


Studio_20180709_103441.jpg
Studio_20180709_103513.jpg
Studio_20180709_103549.jpg
Studio_20180709_103619.jpg




Studio_20180709_102425.jpg


CHANZO: PICHA: Hatimaye Leo Nimetuma Petition ya [HASHTAG]#MKIRU[/HASHTAG] na [HASHTAG]#AzoryGwanda[/HASHTAG] Kwa Kamishna wa Haki za Binadamu, Umoja wa Mataifa
 
Hii lazima itume seismic waves kwa "wasiojulikana" na mabwana zao!

Hata ipite miaka 100 watu wataendela kumdai Azory na Ben Saanane

Askari wa zamani wa KiNAZI bado wanawindwa wafikishwe katika mkono wa sheria mpaka leo hii kutokana na ukatili walioufanya zaidi ya miaka 70 iliyopita!. hata kama wameshazeeka na ni vikongwe, wanakamatwa na kushtakiwa!

Ole wao watu madhalim, hawatopata amani kamwe nyoyoni mwao!.

Ipo siku itakuja serikali isiyo na masihara juu ya haki za binadamu itaagiza uchunguzi dhidi ya mambo haya!. Na wote wenye kuhusika watalipa tu!

Jinai haifi
 
Studio_20180709_104228.jpg


Hatimaye leo Julai 9, 2018 nimefanikiwa kutuma petition niliyoifanya kwa siku kadhaa mtandaoni kwa ajili ya kumtaka Kamishna wa Haki za Binadamu huko Umoja wa Mataifa aitishe uchunguzi kuhusu mamia ya watu "waliopotea" huko Mkuranga, Kibiti na Rufiji (MKIRU) sambamba na "kupotea" kwa mwandishi Azory Gwanda. Naambatanisha picha hizi za nyaraka zote nilizotumwa Geneva, Uswisi. Kwa vile nimeomba kujulishwa zitakapopokelewa, basi nitawafahamisha pia pindi zitakapopokelewa, ambapo natarajia itakuwa baadaye wiki hii.

Nawashukuru nyote mlioshiriki kwenye petition ya MKIRU.

Studio_20180709_104200.jpg
Studio_20180709_104228.jpg
Studio_20180709_104323.jpg


Studio_20180709_102711.jpg


Studio_20180709_102750.jpg
Studio_20180709_102826.jpg
Studio_20180709_102849.jpg
Studio_20180709_102919.jpg
Studio_20180709_102944.jpg


Studio_20180709_103041.jpg
Studio_20180709_103116.jpg
Studio_20180709_103246.jpg
Studio_20180709_103320.jpg
Studio_20180709_103405.jpg


Studio_20180709_103441.jpg
Studio_20180709_103513.jpg
Studio_20180709_103549.jpg
Studio_20180709_103619.jpg




Studio_20180709_102425.jpg


CHANZO: PICHA: Hatimaye Leo Nimetuma Petition ya [HASHTAG]#MKIRU[/HASHTAG] na [HASHTAG]#AzoryGwanda[/HASHTAG] Kwa Kamishna wa Haki za Binadamu, Umoja wa Mataifa
Well done. Vipi kuhusu Ben Sanane tayari? Halafu huyu Lugola ameanza kazi vibaya kwa kujifanya ana makeke sana. Badala ya kushughulikia maisha na usalama wa raia yeye anaanza na kujipachika bendera ya taifa kwenye nguo kutaka kujifanya mzalendo na kutembea na ilani ya ccm atapata aibu kubwa mwishoni. Mwenzake Mwigulu pamoja na kuvaa tai na skafu ya bendera ya taifa yuko wapi?
 
Back
Top Bottom