Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,112
Wanawake wenye ulemavu wanakumbana na changamoto mara mbili, kukabiliana na ulemavu wao na mitazamo ya kijamii kwenye jinsia.
Wanawake wana uwezekano mkubwa wa kuwa na ulemavu kuliko wanaume. Na wanawake wenye ulemavu wana uwezekano mkubwa wa kukumbana na ukatili wa kijinsia na unyanyasaji wa kingono kuliko wasio na ulemavu.
Kwa hiyo, tunawaomba ndugu, jamaa na marafiki, popote mlipo kuungana mkono nasi kuliomba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutangaza rasmi Siku ya Taifa ya Wanawake wenye Ulemavu.
Uwepo wa siku hii utasaidia:
- Kuongeza ujuzi wa jamii kuhusu haki za watu wenye ulemavu.
- Kuwawezesha wasichana na wanawake wenye ulemavu kupaza sauti zao.
- Kusaidia serikali na wadau wengine kujua changamoto wanazo kabiliana nazo ili kuwawezesha. wanawake wenye ulemavu.
Ingia hapa kupiga kura
Wanawake wana uwezekano mkubwa wa kuwa na ulemavu kuliko wanaume. Na wanawake wenye ulemavu wana uwezekano mkubwa wa kukumbana na ukatili wa kijinsia na unyanyasaji wa kingono kuliko wasio na ulemavu.
Kwa hiyo, tunawaomba ndugu, jamaa na marafiki, popote mlipo kuungana mkono nasi kuliomba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutangaza rasmi Siku ya Taifa ya Wanawake wenye Ulemavu.
Uwepo wa siku hii utasaidia:
- Kuongeza ujuzi wa jamii kuhusu haki za watu wenye ulemavu.
- Kuwawezesha wasichana na wanawake wenye ulemavu kupaza sauti zao.
- Kusaidia serikali na wadau wengine kujua changamoto wanazo kabiliana nazo ili kuwawezesha. wanawake wenye ulemavu.
Ingia hapa kupiga kura