BelindaJacob Platinum Member Nov 24, 2008 6,474 4,022 Nov 1, 2010 #22 Kama Serukamba ameshindwa ni furaha kwangu kubwa sana!!..Likome
M MILTON Member Nov 1, 2010 8 0 Nov 1, 2010 #23 Peter sreukamba atasaini tu, Vipi -Kasulu Mgharibi kasulu Mashariki Kigoma kaskazini na kigoma kusini
Peter sreukamba atasaini tu, Vipi -Kasulu Mgharibi kasulu Mashariki Kigoma kaskazini na kigoma kusini
BUCHANAGANDE JF-Expert Member Sep 8, 2011 1,513 474 May 11, 2013 #25 Kumbe alichakachua? NDO MAANA ATI...
Kennedy JF-Expert Member Dec 28, 2011 49,008 54,277 May 11, 2013 #27 delako said: Ulikuwa uchaguz wa nini? Click to expand... Uchaguzi Mkuu 2010 aliiba kura ndiyo maana neno lake la kumalizia Ubunge ni lile ****** you!!!! Anajua wazi hatarudi tena Mjengoni.
delako said: Ulikuwa uchaguz wa nini? Click to expand... Uchaguzi Mkuu 2010 aliiba kura ndiyo maana neno lake la kumalizia Ubunge ni lile ****** you!!!! Anajua wazi hatarudi tena Mjengoni.