monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,485
- 13,016
Napiga za ukweli kafa, kapiga za kuibia kaishi... Maisha hayana formulaYaani mshkaji kapiga pushups kafariki unasema kaondoka kishujaa... Na huyu mh rais wetu amepiga nyingi tu na ka survive si inabidi useme anaishi kishujaa...
Internet download managerIDM ipi jamani? Fikisha ujumbe vzr basi mkuu. Ni wahenga tu wanaijua hiyo IDM
Mazoez yeyote unapotaka kufanya lazima uuandae mwili kwanza mfano stretching ya viungo nk, nahic ndio kosa la marehemu . .Ameondoka kishujaa, ametoka kanisan kuimba akaenda IDM kwenye kikao cha viongoz wa kwaya, baada ya kikao wakaenda Kilimahewa kupiga picha za mwaka mpya,,, moja ya picha alipenda apige akiwa anapiga push up,, akapiga ya kwanza, ya pili hadi ya nne akaanguka hapo hapo na kuaga dunia
Push up alizopiga Peter hadi wakati wa mwisho wa maisha Yake... hapo wakati anaamka ndio alirudi chini. anaondokaView attachment 984617
Jr